wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 490
- 763
Tanesco Arusha kwanini mmekuwa wababaishaji?
Waliuachia siku 3 wakati raisi yupo hahamshaambiwa kuna mgao, tuliza boli
na watakatiwa siku 3 kufidia asali waliyolambaWaliuachia siku 3 wakati raisi yupo haha
Daah mateso sanana watakatiwa siku 3 kufidia asali waliyolamba
Wee ulidhani yule twiga kwenye logo ya TANESCO ana kazi gani? Kazi yake ni kuangaza mbali zaidi akiona tu kuna umeme, anawajulisha mafundi wakateTanesco Arusha kwanini mmekuwa wababaishaji?