'TANAPA': Yule Mnyama aliyefanya maangamizi makubwa Mwadui, sasa anaelekea Stand ya Shinyanga

sembo

JF-Expert Member
May 25, 2011
4,350
3,451
Hebu tujaribu kukadiria ni uharibifu wa kiasi gani, huyu Mnyama mkali kabisa mwituni pengine kuliko wote.. anaoenda kuufanya katika Stand ya Shinyanga??

Katika Mechi 6 zilizopita.
Sisi..
Tumeshinda: Mechi Zote [5]
Sare: Mechi 0
Tumefungwa: Mechi 0
Wao..
Wameshinda: Mechi 1 tuu.
Sare: Mechi 3
Wamegongwa: Mechi 5
Kama tumeweza kushinda mechi 5 mfululizo.. Itawezekanaje tushindwe kuwafunga hawa 'wachovu' ambao wameshinda mechi moja tu kati ya 5?!

Katika Mechi hizo hizo 5 zilizopita.
Sisi..
Idadi ya Magoli tuliyofunga: 11
Idadi ya Magoli tuliyofungwa: Hakuna
Wao..
Idadi ya Magoli waliyofunga: 6
Idadi ya Magoli waliyofungwa: 6
Kama kila mechi, Sisi tunafunga goli zaidi ya mbili na Wao kila mechi wanafungwa goli zaidi ya moja.. Unategemea nini hasa kitatokea baada ya fowadi yenye njaa.. Itakapokutana na beki mbovu?!

Matokeo ya Mechi iliyopita katika uwanja wa Kambarage.
Sisi..
Simba S.C 3-0 Stand United
Wao..
Stand United 1-1 African Lyon
Japo tutakua ugenini.. matokeo yetu ya ugenini yanaonesha tunagawa dozi nzito nzito kuliko tukiwa nyumbani.. Sasa hawa wapiga debe sijui watatokaje hapo?!


UPDATES.. 1.
Baada ya matokeo ya Mnyama dhidi ya Stand..
Vita ya Ufungaji Bora katika timu.
Sisi..
Kichuya - Goli 9
Mavugo - Goli 4
Muzamiru - Goli 4
Ajibu - Goli 3
Mo Ibrahim - Goli
Wao..
Magoli yamefungwa na wachezaji wawili tu.
Mnyama huyu.. ukimdhibiti mmoja, mwingine anakuliza.. Sasa hawa wapiga debe sijui watamdhibiti nani wamuache nani?!

UPDATES.. 2.
Baada ya 'Tanapa' kushindwa kabisa kulifanyia kazi hili ombi langu..

Ombi Langu Kwa 'Tanapa':
Baada ya Mnyama huyu kufanya maangamizi makubwa katika mgodi wa dhahabu uliopo Mwadui.. Sasa yupo njiani anaelekea kufanya uharibifu mkubwa zaidi [usioelezeka] katika Stand ya mkoani Shinyanga.'Tanapa' kumzuia huyu Mnyama hamuwezi, labda mtakachofanya ni kupunguza tu uharibifu.[/B]

.. Sasa Mnyama anarejea katika mbuga yake.. Na hii ni baada ya kusikia kuna kimnyama kimevamia.. Maangamizi anayoenda kutoa.. Dunia nzima lazima isimame. 'Tanapa' take note.
 
Hebu tujaribu kukadiria ni uharibifu wa kiasi gani, huyu Mnyama mkali kabisa mwituni pengine kuliko wote.. anaoenda kuufanya katika Stand ya Shinyanga??

Katika Mechi 5 zilizopita.
Sisi..

Tumeshinda: Mechi Zote [5]
Sare: Mechi 0
Tumefungwa: Mechi 0
Wao..
Wameshinda: Mechi 1 tuu.
Sare: Mechi 3
Wamegongwa: Mechi 1
Kama tumeweza kushinda mechi 5 mfululizo.. Itawezekanaje tushindwe kuwafunga hawa 'wachovu' ambao wameshinda mechi moja tu kati ya 5?!

Katika Mechi hizo hizo 5 zilizopita.
Sisi..

Idadi ya Magoli tuliyofunga: 11
Idadi ya Magoli tuliyofungwa: Hakuna
Wao..
Idadi ya Magoli waliyofunga: 6
Idadi ya Magoli waliyofungwa: 6
Kama kila mechi, Sisi tunafunga goli zaidi ya mbili na Wao kila mechi wanafungwa goli zaidi ya moja.. Unategemea nini hasa kitatokea baada ya fowadi yenye njaa.. Itakapokutana na beki mbovu?!

Matokeo ya Mechi iliyopita katika uwanja wa Kambarage.
Sisi..
Simba S.C
3-0 Stand United
Wao..
Stand United
1-1 African Lyon
Japo tutakua ugenini.. matokeo yetu ya ugenini yanaonesha tunagawa dozi nzito nzito kuliko tukiwa nyumbani.. Sasa hawa wapiga debe sijui watatokaje hapo?![/B

Vita ya Ufungaji Bora katika timu.
Sisi..

Kichuya - Goli 8
Mavugo - Goli 4
Muzamiru - Goli 4
Ajibu - Goli 3
Mo Ibrahim - Goli
Wao..
Magoli yamefungwa na wachezaji wawili tu.
Mnyama huyu.. ukimdhibiti mmoja, mwingine anakuliza.. Sasa hawa wapiga debe sijui watamdhibiti nani wamuache nani?!

Ombi Langu Kwa 'Tanapa':
Baada ya Mnyama huyu kufanya maangamizi makubwa katika mgodi wa dhahabu uliopo Mwadui.. Sasa yupo njiani anaelekea kufanya uharibifu mkubwa zaidi [usioelezeka] katika Stand ya mkoani Shinyanga.
'Tanapa' kumzuia huyu Mnyama hamuwezi, labda mtakachofanya ni kupunguza tu uharibifu.

Hizo Takwimu zenu ipo siku mtakuja kuzikana humu ndani. kwasasa huyo Kichuya amekuwa mviziaji tu. Ndani ya kumi bora Wafungaji wanaongoza mpaka sasa Simba yupo Mmoja tu huyo Kichuya . Huku timu ya Wananchi ikiwa na wachezaji watatu ndani ya kumi bora ambao ni Tambwe, Ngoma na Msuva huku Obrey chirwa akija kwa kasi.

Hitimisho ni kwamba Timu yenye Striking Force yenye Njaa ya Mabao siku zote ndio watakuwa Mabingwa. Na dalili nzuri zimeshajionyesha kwa Yanga.
 
Kufungwa Yanga,Azam na stand si kipimo cha simba kufungwa na hao stand.Simba itacheza kama simba na kamwe haiwezi tabiriwa mabaya yaliyowakuta yanga na Azam.
 
Hizo Takwimu zenu ipo siku mtakuja kuzikana humu ndani. kwasasa huyo Kichuya amekuwa mviziaji tu. Ndani ya kumi bora Wafungaji wanaongoza mpaka sasa Simba yupo Mmoja tu huyo Kichuya . Huku timu ya Wananchi ikiwa na wachezaji watatu ndani ya kumi bora ambao ni Tambwe, Ngoma na Msuva huku Obrey chirwa akija kwa kasi.

Hitimisho ni kwamba Timu yenye Striking Force yenye Njaa ya Mabao siku zote ndio watakuwa Mabingwa. Na dalili nzuri zimeshajionyesha kwa Yanga.
Mpaka sasa Sisi.. tumefunga goli 24.. Ninyi mmefunga goli 23.. Ni timu ipi kati ya hizi mbili ina striking force yenye njaa zaidi?
 
Mkuu nachoamini Mimi ni kua kesho tunawaadabisha hawa wapiga debe wa stand.. Na hili halina mjadala kabisa.
Simba kesho atashinda make ata mazingira ya mchezo bado hapo rafik kwa simba. Ukiangalia stand kacheza mechi juzi na Jana kageuza kisha kesho mechi hapo hapo wana mechi na ndanda ugenini.Ukiangalia hapo utaona uchovu wa safari itakua umewaathili sana make katika mechi NNE wamesafiri safari ndefu sana
 
Simba kesho atashinda make ata mazingira ya mchezo bado hapo rafik kwa simba. Ukiangalia stand kacheza mechi juzi na Jana kageuza kisha kesho mechi hapo hapo wana mechi na ndanda ugenini.Ukiangalia hapo utaona uchovu wa safari itakua umewaathili sana make katika mechi NNE wamesafiri safari ndefu sana
Basi sawaaa.muhimu pointi 3
 
Simba kesho atashinda make ata mazingira ya mchezo bado hapo rafik kwa simba. Ukiangalia stand kacheza mechi juzi na Jana kageuza kisha kesho mechi hapo hapo wana mechi na ndanda ugenini.Ukiangalia hapo utaona uchovu wa safari itakua umewaathili sana make katika mechi NNE wamesafiri safari ndefu sana
Nyie si ndo mliokua mnasema, tutaanza kufungwa pale tukianza kucheza mikoani.. Leo imekuaje tena?
 
mikoani mpaka sasa mmeshacheza mechi ngap?
1477997622412.jpg


Hebu pitia hapo juu.. A ~ inamaanisha 'mikoani'.
 
Mpaka sasa Sisi.. tumefunga goli 24.. Ninyi mmefunga goli 23.. Ni timu ipi kati ya hizi mbili ina striking force yenye njaa zaidi?

Mkuu acha uongo, wakati mwingine uwe unakubali tu pale mnapokuwa mnazidiwa. Labda takwimu zangu zinadanganya ila ninachofahamu mimi ni kuwa:

Team GF GA GD
Simba 24 3 21
Yanga 27 5 22

Hizo takwimu sahihi Mpaka sasa Simba Imefunga Goli 24 NA Timu ya wananchi Yanga imefunga goli 27.

Yanga 3 - 0 Mbao FC
Yanga 4 - 0 JKT Ruvu
Yanga 6 - 2 Kagera Sugar
Yanga 2 - 0 Toto Africans
Yanga 3 - 1 Mtibwa Sugar
Yanga 2 - 0 Mwadui
Yanga 3 - 0 Maji Maji
Yanga 1 - 1 Simba
Yanga 3 - 0 African Lyon

sembo na Mdau yoyote wa Simba, tuwekeeni hizo takwimu zinazoonyesha mmetuzidi magoli.

CC: nasmapesa , Guasa Amboni, Bantu lady na wengineo

Untitled.jpg
 
Back
Top Bottom