Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 992
- 1,774
Ukipanda uchawi lazima uwe hiviMzee wa nongwa, kila kitu lazima upinge?
Ukipanda uchawi lazima uwe hiviMzee wa nongwa, kila kitu lazima upinge?
Basi Lissu kapita maana hata hawa ni wapiga kura.Humu jamii forum Ila sio kwenye uhalisia.
Wapinzani ni watu wa namba gani?Wapinzani wameumia wanatamani ungewaka mlima mzima.
Lakini point si iko pale pale zima moto ni upuuzi tu ndani ya sare lakini hamna kitu ..Kwani hiyo Mvua ikisaidia Kuuzima huo Moto kuna tatizo? Hivi ni kwanini baadhi ya Watanzania mna Husuda na Visununu kwa nchi yenu hii hii pia?
Absolutely Hogwash.Lakini point si iko pale pale zima moto ni upuuzi tu ndani ya sare lakini hamna kitu ..
Wapinzani ni watu wa namba gani?