Ubishi nao kipaji
Mgojwa anaenda juu kufanya nini,lini umesikia mgonjwa kapanda mlima? Nimecheka sanaUjui chochote,cable zinakuwepo na njia za miguu zinakuwepo pia maamuzi ni ya mteja.
Mfano wagonjwa,wazee,walemavu,wasio na mda watafika vipi juu bila cable.
Mkuu kumbuka kuwa; MUDA na TEKNOLOJIA havijawahi kishindwa na Binadamuwa nyama.!!
Hakuna jipya hapa,ni matumizi mabaya.Subiri matokeo.Mkuu kumbuka kuwa; MUDA na TEKNOLOJIA havijawahi kishindwa na Binadamuwa nyama.!!
Watuletee na huku Lindi. Tumechoka kila kitu KilimanjaroCar cable haitafika kwenye Kilele cha Mlima Kilimanjaro
Kwanini haifiki kileleni?
Swali halijibiwi kwa swali, nieleze ukitaka kupanda table mountain ukiwa Cape town unapandia wapi?Kabla hawajaweka cable, walifikaje juu?
Hakuna jipya hapa,ni matumizi mabaya.Subiri matokeo.
Mawazo yako ni kama mtu ujenge nyumba ya ghorofa nne na uweke lifti na ngazi, halafu useme wasiotaka lifti watapanda ngazi. Obvious wengi watatumia lifti hata wale wenye uwezo wa kupanda ngazi. Hivyo hivyo ukiweka cable car watu wengi watazitumia, hata wale wenye afya njema na uwezo wa kupanda mlima kwa miguu yao.
Vivutio ni vivutio kwa sababu ya uniqueness na sio kwa sababu ya wingi wa watalii. Utalii wa watu wengi mara nyingi sana ni haribifu. Watu wanaenda kwa ajili ya kupiga selfie tu na hivyo hawajali kuhusu hali ya mazingira waliyoyakuta. Wanatupa taka ovyo, wanajichukulia "souvenirs " bila kujali athari zake. Watadai watengenezewe vyoo n.k. Hata joto la pumzi za watalii zinaweza kuleta athari.
Nchi za wenzetu zenye watalii kuliko sisi sasa hivi wanafanya kila jinsi kuwapunguza. Sehemu kama Venice wana mipango ya kupunguza cruise ships zinazopeleka watalii n.k.
Mtu anaesema kuwa angependa kupanda mlima Kilimanjaro lakini hana muda sio mpandaji tunayemtaka.
Tusisahau kuwa eco system ya Kilimanjaro ni unique na sisi watanzania ndio tuna wajibu wa kuilinda kwa wivu mkubwa ili dunia na vizazi vyetu waweze kuifaidi.
Mimi ningependa sana kwenda North Pole lakini najijua baridi ya kule sitaiweza. Kwa mtazamo wenu basi itakuwa busara kama tukiyayusha barafu yote kule na kujaza heaters ili watu kama mimi tuweze kwenda.
Amandla...
Labda hujaelewa kidogo , wanaotumia Cable car ni watazama mlima, yaani wanaenda kwa ajili ya kitazama na kurudi, na wale wanaenda kwa njia ya kawaida ni wakwea mlima. Sasa nyinyi mnaosema wasio na mda sio wapandaji mnaowataka hiyo ni shida yenu, mtuke au mstake sisi tunasubiri cable car tupande zetu mlima.Mawazo yako ni kama mtu ujenge nyumba ya ghorofa nne na uweke lifti na ngazi, halafu useme wasiotaka lifti watapanda ngazi. Obvious wengi watatumia lifti hata wale wenye uwezo wa kupanda ngazi. Hivyo hivyo ukiweka cable car watu wengi watazitumia, hata wale wenye afya njema na uwezo wa kupanda mlima kwa miguu yao.
Vivutio ni vivutio kwa sababu ya uniqueness na sio kwa sababu ya wingi wa watalii. Utalii wa watu wengi mara nyingi sana ni haribifu. Watu wanaenda kwa ajili ya kupiga selfie tu na hivyo hawajali kuhusu hali ya mazingira waliyoyakuta. Wanatupa taka ovyo, wanajichukulia "souvenirs " bila kujali athari zake. Watadai watengenezewe vyoo n.k. Hata joto la pumzi za watalii zinaweza kuleta athari.
Nchi za wenzetu zenye watalii kuliko sisi sasa hivi wanafanya kila jinsi kuwapunguza. Sehemu kama Venice wana mipango ya kupunguza cruise ships zinazopeleka watalii n.k.
Mtu anaesema kuwa angependa kupanda mlima Kilimanjaro lakini hana muda sio mpandaji tunayemtaka.
Tusisahau kuwa eco system ya Kilimanjaro ni unique na sisi watanzania ndio tuna wajibu wa kuilinda kwa wivu mkubwa ili dunia na vizazi vyetu waweze kuifaidi.
Mimi ningependa sana kwenda North Pole lakini najijua baridi ya kule sitaiweza. Kwa mtazamo wenu basi itakuwa busara kama tukiyayusha barafu yote kule na kujaza heaters ili watu kama mimi tuweze kwenda.
Amandla...
I dont see as constructive rather than conservative. Ukiachana na faida ya kuongeza mapato, Cable cars zitaleta ufanisi zaidi kwenye suala la usalama hasa kwenye ajali au dharulaAs long as its constructive argument.Ndio maana dunia sio meza.
Wewe ni hatari kwa taifa.Curiosity killed the cat, na ndio majaribio yatakayozika utalii wa nje wa kupanda mlima. Usitegemee mzungu atoke Ulaya kuja kusafiri kwenye cable car. Its completely nonsense. Hizi akili za kichina zitafuta umuhimu wa mlima Kilimanjaro
Sio hilo tu uchafuzi wa mazingira kwa kuruhusu utatili wa wapanda mlima dezo utatugharimu
Nina imani huyo kibosile aliyependekeza mpangi huo anatakiwa afukuzwe mapema iwezekanazo, ni hatari sana kuliko yule aliyeshindwa kula kiapo
UmeonaeeeHili tatizo la kufika kileleni ni kubwa sana nchini, Uenda hakuna nguvu za kutosha kufikisha kileleni
Kama wewe ni K basi tumefika pamojakwa kusoma thread yako mefika kileleni
Ndugu yangu unasema kitu usichokijua kabisa. Jaribu kwenda kupanda Mlima Kilimanjaro huenda utaelewa kwanini hiyo Cable car haifai.I dont see as constructive rather than conservative. Ukiachana na faida ya kuongeza mapato, Cable cars zitaleta ufanisi zaidi kwenye suala la usalama hasa kwenye ajali au dharula
Unakumbuka ile ajali ya moto? Ni wazi kwamba wakina Kigwangala walichelewa kufika eneo la tukio pia walishindwa kwenda za vifaa muhimu kwa wakati kwa sababu miundo mbinu hafifu.
Hata mimi nimeshangaa.Mgojwa anaenda juu kufanya nini,lini umesikia mgonjwa kapanda mlima? Nimecheka sana
Curiosity killed the cat, na ndio majaribio yatakayozika utalii wa nje wa kupanda mlima. Usitegemee mzungu atoke Ulaya kuja kusafiri kwenye cable car. Its completely nonsense. Hizi akili za kichina zitafuta umuhimu wa mlima Kilimanjaro
Sio hilo tu uchafuzi wa mazingira kwa kuruhusu utatili wa wapanda mlima dezo utatugharimu
Nina imani huyo kibosile aliyependekeza mpangi huo anatakiwa afukuzwe mapema iwezekanazo, ni hatari sana kuliko yule aliyeshindwa kula kiapo
Unajichanganya. Kwanza umesema wanaotumia cable car ni watazama mlima halafu mwisho unasema mnasubiri cable car ili mpande mlima. Lipi ni lipi?Labda hujaelewa kidogo , wanaotumia Cable car ni watazama mlima, yaani wanaenda kwa ajili ya kitazama na kurudi, na wale wanaenda kwa njia ya kawaida ni wakwea mlima. Sasa nyinyi mnaosema wasio na mda sio wapandaji mnaowataka hiyo ni shida yenu, mtuke au mstake sisi tunasubiri cable car tupande zetu mlima.