Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,285
- 8,828
Shida ipo tena kubwa tu... walioomba wanafahamu hilo... shule za kata au hata ambazo sio za kata hazipo kwenye database yao..., pia postcode haipo active HAIFANYI KAZI kwenye system zao...yapo mengi tu... Kuna baadhi ya skills hazipo na zilizopo zingine hazifanyikazi hazipo active.... hakuna kwa kufanya attachment angalau basi watu waweke attachment zao... hivyo bila kufanya hivyo ktk kuchakata huko kwao sijui nini kitatokea...Nawashauri tuu,mjaribu kutulia kwa umakini na computer zenu,system yao haina shida wala,labda kama network zenu sio nzuri,tulieni tuu kwa umakini,na kama huna uzoefu wa jinsi ya kucheza na mitandao(systems) mtafute mtu akusaidie.