Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Leo wakati wa chakula cha mchana nikatoka na kabinti kamoja kageni kametoka chuoni siku za karibuni kwa ajili ya kupata mlo wa mchana.
Tukaenda florida pub na kuagiza mexican chicken na chips tukisindikiza na bia lainilaini.
Utamu ukanoga, nikamkokota mtoto mpaka kwenye kijihoteli kimoja kinaitwa kibodya inn hapo mtaa wa nkuruma.
Tukapewa chumba kizuri kabisa na shughuli ikaanza.
Foreplay za hatari na ufundi wa kufa mtu.
Mara kitu kimo ndani nje, kama mara kumi na mbili hivi tukasikia mlango ukigongwa.
Ukagongwa kwa mara ya pili na kwa nguvu zaidi.
Nikaona nikasikilize kuna nini.
Ile kutaka tu, nikakutana uso kwa uso na mke wangu.
Akaniambia niendelee tu na kumchapa huyo binti, ila alikuwa amekuja kuniaga kuwa anarudi kwao, na wala hana haja ya kugwana mali, ila atachukua nguo zake zote tu.
Nikabaki hoi, ulimi umenitoka nisijue la kufanya.
Muda huu ndio naingia ofisini na kujiuliza hivi hawa wakina teamo, ni lipi nimekosea kwenye katiba yao?
Tukaenda florida pub na kuagiza mexican chicken na chips tukisindikiza na bia lainilaini.
Utamu ukanoga, nikamkokota mtoto mpaka kwenye kijihoteli kimoja kinaitwa kibodya inn hapo mtaa wa nkuruma.
Tukapewa chumba kizuri kabisa na shughuli ikaanza.
Foreplay za hatari na ufundi wa kufa mtu.
Mara kitu kimo ndani nje, kama mara kumi na mbili hivi tukasikia mlango ukigongwa.
Ukagongwa kwa mara ya pili na kwa nguvu zaidi.
Nikaona nikasikilize kuna nini.
Ile kutaka tu, nikakutana uso kwa uso na mke wangu.
Akaniambia niendelee tu na kumchapa huyo binti, ila alikuwa amekuja kuniaga kuwa anarudi kwao, na wala hana haja ya kugwana mali, ila atachukua nguo zake zote tu.
Nikabaki hoi, ulimi umenitoka nisijue la kufanya.
Muda huu ndio naingia ofisini na kujiuliza hivi hawa wakina teamo, ni lipi nimekosea kwenye katiba yao?