Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Watu wamekuwa ni watumwa wa umaarufu.
Wapo wanaotumia fedha zao ili wapate umaarufu,
wengine wanahonga wanamuziki ili waimbwe na kupata umaarufu,
wengine huwa wanakwenda kwa waganga ili wapate umaarufu,
kila kitu watu wanafanya ili wapate umaarufu.
Je kati ya hasara na faida za umaarufu kipi ni zaidi?
naombeni ushauri wenu ili nijue kama umaarufu una faida au una hasara.
Wapo wanaotumia fedha zao ili wapate umaarufu,
wengine wanahonga wanamuziki ili waimbwe na kupata umaarufu,
wengine huwa wanakwenda kwa waganga ili wapate umaarufu,
kila kitu watu wanafanya ili wapate umaarufu.
Je kati ya hasara na faida za umaarufu kipi ni zaidi?
naombeni ushauri wenu ili nijue kama umaarufu una faida au una hasara.