McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Huu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu baada ya kugegeda mabinti wa pande zote mbili yaani wa-uswazi na wa-kishua katika nyakati tofauti;
USWAZI:
Tamu ya watoto wa uswahilini
1:hawavungi kwenye kugegedana yaani ukifika kwenye hii sekta unapewa ufundi wote mpk njonjo la akiba ukiwa mgeni unaweza kusahau hata jina lako.
2:Hakuna gharama hizi za kiwendawazimu mnatoka hata uswazi take away yeye kwatuuu hata ukinunua hizi nguo hana muda wa kuuliza za designer gani mara LV au GUCCI, halafu uko ice cream nini, cjui ya Mlimani city anasoma kwenye kiu na ijumaa.
3:Upatikaji wao ni rahisi sanaa, yaani anaweza kuibuka ile katumwa dakika chache anakuletea ufanye yako mara 1 kupeana sio kwa mbinde mpk uandike barua ya maombi
4: Hawana kuch kuch km hakutaki unaambiwa hapo tu, zile jibu kesho hakuna, zile nikafikirie kwnz na akikuelewa usishangae akakusanua macho makavu vile anajickia
CHUNGU
1:Usimkurupushe kwny kugegedana unaweza kukutana ndani kavaa bukta ya Manchester utd namba 10, kumkuta kavaa pichu nzr mpk ajue anaenda kwny kugegedana.
2:Jiandae kutegemewa mpk pesa ya topaz maana asbh uyu hapa kagonga mlango hana pesa ya topaz au vitafunwa kwa ajili ya chai.
3: Hawachelewi kupaki basi hapo kwako mara leo kaacha kitenge kesho tops ukishtuka nguo zake zote ziko kwako msala kumtoa sasa, lazima usingizie ndg kafa au mama anakuja.
WA-KISHUA
Tamu ya hawa watoto sasa
1:Wana changamoto za kutafuta hizi sarafu maana ukifikiria w'end lzm akili iende race, mfn mm wamenifanya mpk leo niwe nakaza mpk naona kawaida.
2:Wanafanya uwe up to date ile nn kinaendelea duniani ni kawaida hizi fashion alafu muda wote ni smart izi G-string na bikini kawaida kwao na mambo km izo zinakua kawaida hii lugha iliokuja na meli lzm utaijua tu.
3:Wanajua kudeka na kudekeza duh hawa watoto hapa waache ile umekula nn babe....OMG haujaloana babe na hii mvua ni kawaida, sasa mideko yao mbele kadamnasi atataka umnawishe mikono au umlishe.
CHUNGU
1uh jipange kwny gharama maana wallet lzm iwe inatoka damu daily mm nshawahi dondoka eneo bia hii ya kawaida buku 8 kdg niombe pooo, unaweza potea step ukajikuta umekua kontena la sembe hivi hivi ili kuongeza kipato.
3:Sekta ya faragha wengi ni wachovu sn wanajua ile pre-match preparation tu mbele uko hawajui, mby zaidi ukipasia kamba 1 basi kachoka hawataki vurumai mara umegongesha mwamba ni wavivu sana.
4:Maigizo mengi mapenzi km series za kifilipino au La Mujer vile anataka akuletee zile za Rhihana duh km mkono wako mwepesi daily utampa viganja wanaigiza kila kitu simply kila kitu chao ni maigizo.
5: Ukitaka gemu j1 inabidi uanze kuomba cku 5 kabla unaweza kua una hang nae out daily unaishia hii French kiss ht ulale nae mzigo haupewi.
Huu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu mimi. Kama yapo mengine ongezea, sio kesi. Pia kama mengine haujakubali sawa, ila mimi yamenikuta.
USWAZI:
Tamu ya watoto wa uswahilini
1:hawavungi kwenye kugegedana yaani ukifika kwenye hii sekta unapewa ufundi wote mpk njonjo la akiba ukiwa mgeni unaweza kusahau hata jina lako.
2:Hakuna gharama hizi za kiwendawazimu mnatoka hata uswazi take away yeye kwatuuu hata ukinunua hizi nguo hana muda wa kuuliza za designer gani mara LV au GUCCI, halafu uko ice cream nini, cjui ya Mlimani city anasoma kwenye kiu na ijumaa.
3:Upatikaji wao ni rahisi sanaa, yaani anaweza kuibuka ile katumwa dakika chache anakuletea ufanye yako mara 1 kupeana sio kwa mbinde mpk uandike barua ya maombi
4: Hawana kuch kuch km hakutaki unaambiwa hapo tu, zile jibu kesho hakuna, zile nikafikirie kwnz na akikuelewa usishangae akakusanua macho makavu vile anajickia
CHUNGU
1:Usimkurupushe kwny kugegedana unaweza kukutana ndani kavaa bukta ya Manchester utd namba 10, kumkuta kavaa pichu nzr mpk ajue anaenda kwny kugegedana.
2:Jiandae kutegemewa mpk pesa ya topaz maana asbh uyu hapa kagonga mlango hana pesa ya topaz au vitafunwa kwa ajili ya chai.
3: Hawachelewi kupaki basi hapo kwako mara leo kaacha kitenge kesho tops ukishtuka nguo zake zote ziko kwako msala kumtoa sasa, lazima usingizie ndg kafa au mama anakuja.
WA-KISHUA
Tamu ya hawa watoto sasa
1:Wana changamoto za kutafuta hizi sarafu maana ukifikiria w'end lzm akili iende race, mfn mm wamenifanya mpk leo niwe nakaza mpk naona kawaida.
2:Wanafanya uwe up to date ile nn kinaendelea duniani ni kawaida hizi fashion alafu muda wote ni smart izi G-string na bikini kawaida kwao na mambo km izo zinakua kawaida hii lugha iliokuja na meli lzm utaijua tu.
3:Wanajua kudeka na kudekeza duh hawa watoto hapa waache ile umekula nn babe....OMG haujaloana babe na hii mvua ni kawaida, sasa mideko yao mbele kadamnasi atataka umnawishe mikono au umlishe.
CHUNGU
1uh jipange kwny gharama maana wallet lzm iwe inatoka damu daily mm nshawahi dondoka eneo bia hii ya kawaida buku 8 kdg niombe pooo, unaweza potea step ukajikuta umekua kontena la sembe hivi hivi ili kuongeza kipato.
3:Sekta ya faragha wengi ni wachovu sn wanajua ile pre-match preparation tu mbele uko hawajui, mby zaidi ukipasia kamba 1 basi kachoka hawataki vurumai mara umegongesha mwamba ni wavivu sana.
4:Maigizo mengi mapenzi km series za kifilipino au La Mujer vile anataka akuletee zile za Rhihana duh km mkono wako mwepesi daily utampa viganja wanaigiza kila kitu simply kila kitu chao ni maigizo.
5: Ukitaka gemu j1 inabidi uanze kuomba cku 5 kabla unaweza kua una hang nae out daily unaishia hii French kiss ht ulale nae mzigo haupewi.
Huu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu mimi. Kama yapo mengine ongezea, sio kesi. Pia kama mengine haujakubali sawa, ila mimi yamenikuta.