Ndugu @kichangirl, hongera sana kwa hatua hiyo,mm namiliki mawazo kama matatu hv ambapo kabla ya mwaka kuisha mawili yatakuwa yameshaanza coz mtaji ninao tayari ila kiukweli haya mawazo nimeyachakata kweli na nimejipanga kisawasawa.Hapo kwenye viazi mabibo ni biashara ambayo naiadmire sana coz mwakani nafumua kama ekari 5 za viazi coz nishagain experience ya kutosha in this field,ila nitataka nipate connection ya wanunuzi au madalali hapo mabibo,kwa kuwa upo hapo dar na ulishapita mitaa ya mabibo sokoni,nikuombe tu bibie kama unaweza wa kunitafutia mawasiliano ya watu wanaodeal na hii kitu kwa ajili ya maandalizi ya mapema ya soko mwakani.