RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
"Kuna sababu za msingi ambazo zilinifanya nichague kuichezea timu ya Taifa ya England badala ya Nigeria, sababu ya kwanza ni wazi Nigeria haina nafasi kwenye michuano ya Kombe la Dunia wakati England ina nafasi kubwa ya kushinda Kombe la Dunia.
Sababu ya pili ni kwamba siwezi kuimba wimbo wa Taifa wa Nigeria vizuri, sababu ya tatu michuano ya Euro ni bora sana kuliko AFCON, mimi ni Muingereza zaidi kuliko Nigeria"
Tammy Abraham
Sababu ya pili ni kwamba siwezi kuimba wimbo wa Taifa wa Nigeria vizuri, sababu ya tatu michuano ya Euro ni bora sana kuliko AFCON, mimi ni Muingereza zaidi kuliko Nigeria"
Tammy Abraham