Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,485
- 9,515
Kichwa cha habari Chahusika.
UTANGULIZI
Takribani wiki mbili zilizopita nilileta kwenu taarifa ya kutengua uhusiano batili kati cha Chimbuvu na mke wa mtu Madame B. Kathka taarifa ile niliwataka Madame B na Chimbuvu kusitisha maramoja uhusiano wao batili au la waurasmishe kwa sheria na taratibu halali za hapa chit chat.Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kujitokeza yafuatayo
i.Malalamiko yaliyofikishwa mbele ya tume yangu na ndugu Ruttashobolwa ambae ndie mume halali wa Madame B
ii.Malalamiko yaliyoletwa kwangu na wanachit chat wengi tu juu ya tabia inayokera ya Madame B na Chimbuvu ya kutoheshimu ndoa hivyo kulipaka matope jukwaa tukufu la chit chat.
iii.Barua rasmi iliyoletwa kwangu na shemeji zake Madame B ambao ni ndugu zake Ruttashobolwa wakitaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya wahusika. ndugu hao ni Judgement, Bishanga na nitonye.
iv.Hali ya sintofahamu iliyotokea hapa jamvini baada ya Madame B kudaiwa kuwatapeli kimapenzi wadau tedo na chilli.
Baada ya taarifa ile wahusika hawakuonyesha utayari wa kutekeleza maelekezo HALALI ya tume na kuendelea na uhusiano wao unaotia kinyaa.
Tangu jana tarehe 28/11/2012 nilikuwa napitia ripoti za kamati ya SCREENING ,SHERIA na ile ya MAADILI, na baada ya kujiridhisha natoa maazimio yafuatayo
i Madame B akiri kuwa yeye ni mke halali wa Ruttashobolwa kama inavyofahamika hapa na aombe msamaha kwa wana chit chat wote kwa usumbufu aliousababisha.
ii Chimbuvu atoe tamko rasmi la kuachana na Madame B na aombe msamaha kwa usumbufu aliowasababishia wana chit chat wote.
Hayo yote yafanyike kabla ya siku ya ijumaa tarehe 30/11/2012 saa tano asubuhi. Kushindwa kufanya hivyo kutapelekea hatua zifuatazo kwa wahusika zikiwa kama ni hatua za awali.
i Madame B na Chimbuvu kutopewa LIKE na mwana chit chat yeyote katika post zao.
ii.Kuto QUOTE post yoyote ya Madame B au Chimbuvu.
iii.Kuwekwa hadharani kwa picha zao ZA AIBU walizopigwa bila wao kujua.Kazi hii itafanywa na Asprin na Mtambuzi.
iv.Kusutwa hadharani wote wawili wakiwa wamevishwa kanga na kupakwa majivu. Kazi hii itafanywa na gfsonwin cacico snowhite ,FP lara 1 Ciello na Zinduna chini ya usimamizi wa malafyale watu8 huku ikifadhiliwa na Arushaone na Bishanga.
Aidha tume inampongeza sana ndugu Ruttashobolwa kwa kuonyesha busara na utulivu wakati tume ikishughulikia suala lake.
Mwisho natoa wito kwa wadau wote kusimamia utekelezaji wa maazimio na kusimamia taratibu halali zilizowekwa.
Baba V
MWENYEKITI WA TUME ZA KURATIBU MAHUSIANO NA NDOA CHIT CHAT 2012
UTANGULIZI
Takribani wiki mbili zilizopita nilileta kwenu taarifa ya kutengua uhusiano batili kati cha Chimbuvu na mke wa mtu Madame B. Kathka taarifa ile niliwataka Madame B na Chimbuvu kusitisha maramoja uhusiano wao batili au la waurasmishe kwa sheria na taratibu halali za hapa chit chat.Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kujitokeza yafuatayo
i.Malalamiko yaliyofikishwa mbele ya tume yangu na ndugu Ruttashobolwa ambae ndie mume halali wa Madame B
ii.Malalamiko yaliyoletwa kwangu na wanachit chat wengi tu juu ya tabia inayokera ya Madame B na Chimbuvu ya kutoheshimu ndoa hivyo kulipaka matope jukwaa tukufu la chit chat.
iii.Barua rasmi iliyoletwa kwangu na shemeji zake Madame B ambao ni ndugu zake Ruttashobolwa wakitaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya wahusika. ndugu hao ni Judgement, Bishanga na nitonye.
iv.Hali ya sintofahamu iliyotokea hapa jamvini baada ya Madame B kudaiwa kuwatapeli kimapenzi wadau tedo na chilli.
Baada ya taarifa ile wahusika hawakuonyesha utayari wa kutekeleza maelekezo HALALI ya tume na kuendelea na uhusiano wao unaotia kinyaa.
Tangu jana tarehe 28/11/2012 nilikuwa napitia ripoti za kamati ya SCREENING ,SHERIA na ile ya MAADILI, na baada ya kujiridhisha natoa maazimio yafuatayo
i Madame B akiri kuwa yeye ni mke halali wa Ruttashobolwa kama inavyofahamika hapa na aombe msamaha kwa wana chit chat wote kwa usumbufu aliousababisha.
ii Chimbuvu atoe tamko rasmi la kuachana na Madame B na aombe msamaha kwa usumbufu aliowasababishia wana chit chat wote.
Hayo yote yafanyike kabla ya siku ya ijumaa tarehe 30/11/2012 saa tano asubuhi. Kushindwa kufanya hivyo kutapelekea hatua zifuatazo kwa wahusika zikiwa kama ni hatua za awali.
i Madame B na Chimbuvu kutopewa LIKE na mwana chit chat yeyote katika post zao.
ii.Kuto QUOTE post yoyote ya Madame B au Chimbuvu.
iii.Kuwekwa hadharani kwa picha zao ZA AIBU walizopigwa bila wao kujua.Kazi hii itafanywa na Asprin na Mtambuzi.
iv.Kusutwa hadharani wote wawili wakiwa wamevishwa kanga na kupakwa majivu. Kazi hii itafanywa na gfsonwin cacico snowhite ,FP lara 1 Ciello na Zinduna chini ya usimamizi wa malafyale watu8 huku ikifadhiliwa na Arushaone na Bishanga.
Aidha tume inampongeza sana ndugu Ruttashobolwa kwa kuonyesha busara na utulivu wakati tume ikishughulikia suala lake.
Mwisho natoa wito kwa wadau wote kusimamia utekelezaji wa maazimio na kusimamia taratibu halali zilizowekwa.
Baba V
MWENYEKITI WA TUME ZA KURATIBU MAHUSIANO NA NDOA CHIT CHAT 2012
Last edited by a moderator: