yupo hapo kutetea biashara zake, si kuna makontena ya nyara za serikali zilishikwa asia huko, na mzigo kampuni yake ndio iliyo safirisha? na bado anataka kuwekeza hapo bandarini.Huyu Kinana si ni Msomalia? Kwanini anakuwa msemaji wa watanzania?
Hawa CCM mimi nawashangaa sana mwenzao anaumwa baada ya kumpumzisha hata kwa siku moja bado wanambebesha mzigo kwa maslahi yao......bora punda af....... lakini mzigo wa tajiri ufike, very sad.Spin masters kama kawaida yao!
Wanasema angefika Mwanza asubuhi mpaka sasa hivi hajafika bado sijui asubuhi haijaisha? Why not take a rest mkuu??????????????????
Hawa CCM mimi nawashangaa sana mwenzao anaumwa baada ya kumpumzisha hata kwa siku moja bado wanambebesha mzigo kwa maslahi yao......bora punda af....... lakini mzigo wa tajiri ufike, very sad.
Spin masters kama kawaida yao!
Wanasema angefika Mwanza asubuhi mpaka sasa hivi hajafika bado sijui asubuhi haijaisha? Why not take a rest mkuu??????????????????
Kinana ni mtanzania mwenye asilia ya Kisomali kama ulivyo wewe mtanzania mwenye asilia ya kihutuHuyu Kinana si ni Msomalia? Kwanini anakuwa msemaji wa watanzania?
Kinana ni mtanzania mwenye asilia ya Kisomali kama ulivyo wewe mtanzania mwenye asilia ya kihutu
Kama ulivyo wewe Mtanzania mwenye asili ya Kijaluo.Kinana ni mtanzania mwenye asilia ya Kisomali kama ulivyo wewe mtanzania mwenye asilia ya kihutu
Kama ulivyo wewe Mtanzania mwenye asili ya Kijaluo.
Huyu Kinana si ni Msomalia? Kwanini anakuwa msemaji wa watanzania?
yupo hapo kutetea biashara zake, si kuna makontena ya nyara za serikali zilishikwa asia huko, na mzigo kampuni yake ndio iliyo safirisha? na bado anataka kuwekeza hapo bandarini.
rumours ya kitu gani?Wewe August wacha kuzua uongo kwa wenzako. Una kithibitisho gani? Jamani musichukue rumours mukazigeuza kuwa facts.