zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Natoa tamko nikiwa kama Raia Tanganyika iliyofutika,Kuwa Mipango yote inayopangwa iwe ya kishirikina,Ya kimauaji,yenye nia ya kuwafunga Mdomo Watanganyika wenye Uchungu na Ustawi wa Taifa hili ife mara moja,Nawaagiza Waliopangwa kufanikisha hayo hamtamgusa hata mmoja,kila mlililo lipanga kwa Mwenye uchungu na nchi yawakute wenyewe.
Vyombo vyote vya ulinzi ambavyo ndani yake kuna wasiowema ambao wanatabia hyo waache mara moja.
....
Over
Vyombo vyote vya ulinzi ambavyo ndani yake kuna wasiowema ambao wanatabia hyo waache mara moja.
....
Over