Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,048
- 5,513
Hili ni tamko kweli au karatasi yenye maandishi meupe
Tatizo katiba ya nchi ibara ya 3 inahusika hapo na sharia ya vyama vya siasa namba 13..anyway hapa kazi tu siasa mpaka 2020 or 2025Hongera vyama makini kwa Tamko makini. Hao wengine sijui hawana kazi za kufanya. Wanapaswa kwenda kwenye majimbo yao waliyoshinda wakahimize maendeleo wao wanasema Nchi nzima hata wasikoshinda! Hii si vurugu jamani? Wananchi wanataka Maji, Elimu, Afya, Barabara na huduma zingine. Hawahitaji kupigiwa kelele na maandamano!! Mbona HAI na MONDULI hamwendi kuandamana?
Sasa kama wanaunga mkono mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku unategemea nini?Vibaraka wa nani comrade...siyo ndio uhuru wa kutoa maoni na mawazo??
Sasa kama wanaunga mkono mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku unategemea nini?
Hiyo karatasi yenye tamko ina maswali mengi kujibiwa kama utaangalia vema picha.Vyama vya siasa nchi leo vyakutana na kufanya tafakuri ya kina juu ya hali ya kisiasa nchini pamoja na tamko la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
View attachment 379605
mbona wameshauri vizuritu
Mbona hawa pingi kukiukwa kwa demokrasia na kuingiliwa kwa katiba? Mimi naona hivyo vyama ni vile vinavyo tengea uongozi wajipatie maslahi yao binafsi...Vyama vya siasa nchi leo vyakutana na kufanya tafakuri ya kina juu ya hali ya kisiasa nchini pamoja na tamko la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
View attachment 379605