Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

hawa wasinasibu kuwa ni vijana wasomi bali ni vijana wanaokariri
hiyo taarifa yao imejaa, mapungufu kibao sasa kama usomi umeishia kwenye mtazamo huo ni
dhahili kuwa serkali imeingia hasara kubwa sana kuwa na taifa la wasomi wa aina hiyo
siku za mbeleni

Wamehamisha njaa kutoka tumboni hadi kichwani, imeharibu mishipa yote ya fahamu.Mbona hawazungumzii kasoro za ajabu katika uchaguzi. Msomi makini ni yule anayejua jinsi ya kujenga hoja kuanzia vijenzi vyake (premises) na kisha kutumia viashiria hivyo kupata hitimisho (conclusions). Udom msikiaibishe chuo ndio kwanza kimeanza tu, kina safari ndefu katika uwanda wa weledi na taaluma.
 
Sisi vijana wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma tunawaomba Watanzania wote wenye nia njema na Taifa letu kuwapuuza wabunge wa CHADEMA na kutambua kuwa lengo lao ni kutaka kutuhamisha kutoka kwenye ajenda ya msingi ya Maendeleo na kubaki kwenye malumbano ya kisiasa kama tulivyoshuhudia katika nchi jirani.

Kamwe tusikubali kudanganywa na watu wachache.


Mwisho tungependa kuwaomba Wabunge wa CHADEMA wawaombe radhi watanzania kwa kuvuruga tashwira safi ya Bunge letu lisilo na ubaguzi na itikadi za kisiasa vinginevyo wanawadharau watanzania waliowachagua wakidhani kwamba niwaadilifu wa Taifa na si cha chama chao.

Nina mdogo wangu hapo chuoni na amesema mbona hawajashirikishwa kuandaa msimamo wa chuo? Hivi huu ni msimamo wa nani?...........lakini la msingi kama hawa kweli ni wasomi hapo chuoni wamekwenda kufanya nini?.............................nijuavyo wasomi wapo makazini wanatatua matatizo ya jamii ...............aliyeko chuoni anautafuta usomi kwa hiyo hana ubavu wa kujiita msomi................hususani pale hata wale anaodai kuwawakilisha hata hataki kuwashirikisha kwenye maamuzi nyeti kama haya..................
 
Yaani watoto wa Chuo kwa kujipendekeza kwa Jk!
Huo msimamo ni wa watu wachache tu na sio wasomi wote wa Dododma kama wanaweza waitishe kura za maoni kuangalia ni wanafunzi wangapi wanasupport kitendo cha chadema na wangapi hawasupport.
 
Mumeshau kuwa ata wakati wa JK kutaka kuzunguka mikoani udhamini UDOM ndo walikuwa front
Alafu wanajiita wasomi wakati am sure ni mwendo wa mass production tuu kule
 
Hawa wapuuzi kweli. Watoto kadhaa waliovalishwa nepi za kilevi za CCM wanongea ujinga wanaotaka usikilizwe na watu na akili zao???

Sio mbaya, ukiwa maskini wa akili ujinga wote utafanya bila hata kukumbuka ya jana. Alafu hivi hivi vijinga ndo keshokutwa vinakuja kuomba huruma ya wakubwa wao kuwasaidia wapate mikopo.

Haya hiyo hela mliyohongwa kuongea huo ujinga inawatosha, kesho kutwa msitupigie watu wazima kelele za mikopo. PAMBAFU ZENU VIHIYO NYIE
 
Kama kweli hayo ndo maoni ya wasomi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, basi Tanzania haina wasomi kuna watu tu wapo vyuoni wanakua lkn hakuna wanachojifunza,natilishaka uwepo wao katika vyuo hivyo nawapa pole sana.Kwa kifupi hawasitahili kuwepo hapo


Hicho siyo UDOM, ni Big Brother House, kama jamaa mmoja alivyosema hivi karibuni baada ya kuona uchafu kama wa BBA! Samahani kama kuna nilyemkwaza kwa kuitaja BBA!
 
Wasomi "my foot" hamuwezi hata kuandika kiswahili kilichonyooka, ambayo ni lugha yenu, seuze "english"...
 
Msiwalaumu sana. Their problem is that they are NOT getting education, they are just getting information about education
 
Leo ndiyo nimeamini kuwa humu JF kuna vilaza na mbumbumbu wakubwa. Hiyo taarifa ya vijana inajieleza na iko wazi kabisa. Oneni aibu na muwashauri wabunge wa Chadema. Soon or later they will go out of sight mirror completely!

kwa hili umeonesha kuwa una ufupi sana wa uelewa wa mambo tukiondoa ushabiki nadhani kuna
haja kuijua vyema elimu ya uraia na katiba kwa ujumla bila kuacha sheria na kanuni za bunge ili
watu tujijue kasoro zetu za kuto kujua, hapo ni heri wakashauriwa hao wanafunzi wa kukariri masomo
 
nyinyi wana chadema jf branch mbona mnakosa ustaarabu wasomi si wametoa mtazamo wao!!!!
wapeni uhuru wa kuongea kama kuna wana chadema udom branch na wao si waseme ya kwao!
mnapenda kulazimisha kila kitu!!!

Una maanisha tamko hilo nila wasomi ccm udom branch? Kwani kwa tamko lao wamejumuisha wanavyuo wote kwa ujumla wao
Kama ni wasomi ccm udom branch wajiweke wazi tutambue na si kuwajumuisha hata wenye mitizamo tofauti na wao.
 
Who are they by the way?

Wanawazimu sana, etu wananchi waliowachagua hawajawatuma? mnauhakika nyinyi tawi dogo la CCM? Mimi mwananchi niliyewachagua nimeunga mkuno kwa kila hatua wanayochukua, thats it na inatosha,

Nadhani hamjakua bado, naweza kusikiasikia harufu ya maziwa bado ipo kwenye ubongo wenu, poleni, mkikua mtaacha na kuona hali halisi, au kwa kuwa mmebahatika katika kuhongahonga na kuwa na channel kufika hapo chuoni na kusomeshwa na mkopo? unadhani mimi mwenye mtoto ambaye ameshindwa kupata huo mkopo nitawaunga mkono?

Long Live CHADEMA, if only tukiwa na uwezo wa kubadili katiba ituruhusu kupinga matokeo ya uraisi mahakamani, tungefanya hivyo, but meantime, tutatumia njia nyingine zozote kuonyesha kumpinga raisi na wananchi wataelewa tu,
 
tupe picha uliyonayo kama ushahidi ya kuwa walikuwa wanakunywa wine, la sivyo hapa si mahali pa umbeya tafadhali.
hata kama wanakunywa si hela yetu sisi walipa kodi? hao watoto si nao wanasoma kwa hela yetu! kama hawajui siasa wakae kimya
 
Tulipita huko wote vyuoni tena si miaka ya siku hizi ambao unaenda kukua tut huko mnamaliza hamko innovative,ss ole wenu MJE MLETE MIGOMO ETI HAMJAPATA PESA ZA KUJIKIMU ndo mtajua nn maana ya wabunge wa chadema kutoka nje.wasomi wanaelewa n maana ya kile kitendo na sio nyinyi ambao wengi wenu ni makada wa ccm
 
taarifa ya wasomi? Mbona wameanza na baadhi ya wabunge wa Chadema? Kwani kuna wabunge wa Chadema walibaki? Hebu tuweekeni majina yao tujue kama kweli ni wasomi! Sijui wamepewa shilingi ngapi maskini? Kesho tu utasikia wanalialia na bodi ya mikopo! Poor 'wasomi'
 
Chadema wametusaidia kutambua kuwa nchi iinaendeshwa na wajanja wachache wanaoshindwa kuzingatia kanuni na haki!

Maskini wanafunzi tena wa ngazi ya juu hawajui Mbunge si presidential apointeee!
 
Elimu yetu inashuka sana! Miaka ile ya zamani vyuo vikuu ilikuwa ni sehemu ya think tanks ya nchi. Lakini miaka hii imekuwa ni kama sehemu ya vilabu vya pombe za kienyeji. Nina majonzi na Dodoma University iwapo wanakubali kutumika na wanasiasa.

bibi%2Bna%2Bbabu.jpg
 
nimesoma aya ya kwanza tu nikaona ni upumbavu!

vijana wasomi gani hawa wana mawazo mgando na mafupi?!!
 
Back
Top Bottom