QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
... HIVYO MAREHEMU KYARUZI NI SAWA NA BABA YANGU.. Huu ni Uongo Mbaya. kama alikuwa kama baba yako ilikuwaje usijue kama ameeishazikwa au bado? ... DR. KYARUZI ALIKUWA RAFIKI MKUBWA WA MAREHEMU BABA YANGU MZAZI BRIG. GEN MOSES NNAUYE,... Utakua lini uache uongo?
Kitaifa nani aliwakilisha CCM katika msiba mnaojua kuwa ni muasisi wa TAA...?
Ukiwa CCM lazima ujue kujibadilibadili kama kinyonga!! CCM Kwisha Kwisha Kwisha kabisa. RIP
Kitaifa nani aliwakilisha CCM katika msiba mnaojua kuwa ni muasisi wa TAA...?
Ukiwa CCM lazima ujue kujibadilibadili kama kinyonga!! CCM Kwisha Kwisha Kwisha kabisa. RIP