Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Even in the US there's no democracy

True! Besides, Western countries have no moral authority to lecture anyone on human rights. They have bombed and killed more innocent people than any other country in the world. Moreover, through meddling in other countries’ affairs, they have destabilized so many countries!
 
Unataka watume manuali kubwa au nyambizi kubwa tano? Waje usiku kimya kimya kisha drone na Ndege zisizo na rubani ziingie kazini
eeee ayo ndio maneno tumechoka rumbelele nyiiingi mikwala kibao bila vitendo Marekani bhana amueni moja tujue
 
Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
1604010818694.png


Andamaneni pale ufipa mnazunguka nyumba ya kupanga.
 
Matamko haya Yana umuhimu gani?
Vikwazo kama vya Zimbabwe hadi leo nchi ile haijakaa sawa.Bado tu tegemezi tunadaiwa trions za fedha kwa miradi mbalimbali. Bunge la Chama kimoja halina tija ita kuwa ndio mzee.Si umeona upinzani imepiga kelele kuhusu bima ya afya, ndipo tumehaidiwa kupewa nchi nzima.Hakuta luwa na kelele
 
yeah but tambua US sio bongo.. raisi wao wa awamu ya tano walimchagua kabla hat raisi wako wa awam ya tano haja fikiriwa kuzaliwa so..mi nasemag tusijifananshe na nchi kama hzo kwny u leo.. all in all wote tuta being affected iwe neg or positv way kwakua baba yetu mmoja ambae ni tz.. acha tu focus tuh tutafka
Hivi unaelewa unachoandika? Sijafananisha Tanzania na US, nimesema hata huko Marekani wao hawana democracy wasiingilie uchaguzi wa nchi nyingine. Bado hujaelewa tu?
 
True! Besides, Western countries have no moral authority to lecture anyone on human rights. They have bombed and killed more innocent people than any other country in the world. Moreover, through meddling in other countries’ affairs, they have destabilized so many countries!
Safi sana, afadhali wewe una upeo wa kuona mbali. HAKUNA nchi ya West inayoitakia Afrika mema kama ipo si kivile.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom