Shetani wawatz anafahamika wala hawana haja ya kutaja majina yao!Huo ujumbe wa kusema msimchague shetani nami jana niliupata
Ni weekendi iliyopita, watanzania wengi sana walitumiwa jumbe za simu kuwa mgombea mmoja wa chama cha siasa atamwaga damu.
Mimi binafsi nilikuwa suijasikia kauli ya mwanasiasa huyo na hata kama tungesikia sisi siyo mambumbumbu kutochagua nani anatufaa.
Lakini cah kushangaza ni pale mamlaka husika zilipojifanya kutojua kabisa na hata kutofanya uchunguzi kidogo to eti code no +3.... ni yawapi wakati ni Finland. lakini pia walisema kuwa watawauliza makampuni ya simu wakati wakijua kabisa kuwa makampuni hayo hayana code hizo, na kwa ujumbe ule hakuna ambaye angekubali.
Lakiini sasa jana jioni CCM wametuma jumbe zenye kushabihiana na zile japo tofauti ni wamesema tusicahgue wapinzani.
Kwanza wana JF kuna watu wamepata hizi?
Na hatuna sababu ya kuamini kuwa waliotuma ni hao hao CCM kwa kutumia mtandao?? maana mbaya wa CHADEMA kwa sasa ni CCM peke yake na hakuna mwingine!!
Sasa kama umegombana na mtu, halafu ukadhurika, Je mtuhumiwa wa kwanza si mbaya wako!?
1. Kwanza CCM tunawashauri, kama wapiga kura wamechoka basi wasubirini tu maana kama ni amani walinzi ni wananchi na siyo chama ,
2. Chama hiki kinafahamika na mazuri yaliyofanyika yanajulikana, lakini na uchovu wake unaonekana!
3.Chama kiache kabisa kuwapotosha watu kwa hoja zisizokuwa na maana na za uwongo mkubwa.
4. Chama kiombe tu kura kwa watu kistaarabu bila ya kumhofia mtu na kumtafutia hoja ambazo hata yeye mwenyewe hajawahi kuziota.
5. CCM waachie wapiga kura waamue nani wa kuwatumikia siyo lazima wao tu.
Mkuu unaweza kutupa more status yake ili tumjue ni nani huyu zaidi?Mbona anajulikana tayari? Anaitwa Kalonga Joseph.....................
kwa walio sikiliza BBC leo asubuhi. Mr Kinana alikiri kuwa zile msg za Kuisifia CCM wao ndio waliziandaa na Kutuma ila zile zinazochafua upinzani wao hawahusiki nazo. swali Je wamepata wapi namba zetu?
Mi namshukuru Mungu sijapata sms ya kisenge ila nimesikia tu watu wakilalama kuhusu hizo sms, TCRA wanajua zinatoka wapi ila kwa kuwa wanogopa ndio maana hukaa kimya au kujifanya hawajui.Hao ni CCM tu, ila mwaka huu watakiona cha mtema kuni.
Hao ni ccm tu wenye roho mbaya, hivi tuli sajiri line zetu ili watutumie upumbavu wao? Nahic wameishiwa.
Sasa the same same number yao ndiyo inatuma those two kinds za smses. hivi inawezekanaje mtu atumie namba yako wakati weye unaitumia? inawezekana hiyo kweli?kwa walio sikiliza BBC leo asubuhi. Mr Kinana alikiri kuwa zile msg za Kuisifia CCM wao ndio waliziandaa na Kutuma ila zile zinazochafua upinzani wao hawahusiki nazo. swali Je wamepata wapi namba zetu?