kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Nimemwona Shighela wa UVCCM akiwaasa wabunge vijana wa CCM kushikamana kuipinga sheria kandamizi iliyopitishwa na bunge mwezi april?
Je, wabunge hao vijana wa CCM wakati inapitishwa hawakuwepo bungeni? Pia je kama walikuwepo, je hawakuisoma na kuielewa kuona kama ina tija kwa manufaa ya wachangiaji? Je shighela haoni kama anapambana na serikali yake ambayo ndo iliyoomba sheria hiyo ibadilishwe kwa usitawi wa mifuko hiyo?
Na pia je alikuwa wapi muda ule kama mdau kupinga sheria hiyo aanze kulalama sasa? pia je hao wabunge wake wa CCM haoni aningia nao tifu huku wao walionana inaafikiwa wakasema ndiyo!
CHANZO :ITV taarifa ya saa mbili usiku
Je, wabunge hao vijana wa CCM wakati inapitishwa hawakuwepo bungeni? Pia je kama walikuwepo, je hawakuisoma na kuielewa kuona kama ina tija kwa manufaa ya wachangiaji? Je shighela haoni kama anapambana na serikali yake ambayo ndo iliyoomba sheria hiyo ibadilishwe kwa usitawi wa mifuko hiyo?
Na pia je alikuwa wapi muda ule kama mdau kupinga sheria hiyo aanze kulalama sasa? pia je hao wabunge wake wa CCM haoni aningia nao tifu huku wao walionana inaafikiwa wakasema ndiyo!
CHANZO :ITV taarifa ya saa mbili usiku