ni uhuni wa serikali.ukosefu wa utu,haiwajali tena raia,imepoteza mwelekeo,inatumia nguvu hata pasipostahili,hivi huyo kikwete yupo mafichoni wapi?hayo yote ina maana anajifanya hayasikiii?damn serikali
rais ni dr slaaUmenifurahisha hakuna mahala ulipotamka neno Rais
Yuko busy. Mchumi asiyejua uchumi. Hata Degree ya uchumi aliyopata haikumsaidia, mbali ya hapo jamaa inaonekana hata washauiri wake ameteua wa kufanana naye.
Yuko busy. Mchumi asiyejua uchumi. Hata Degree ya uchumi aliyopata haikumsaidia, mbali ya hapo jamaa inaonekana hata washauiri wake ameteua wa kufanana naye.
ni uhuni wa serikali.ukosefu wa utu,haiwajali tena raia,imepoteza mwelekeo,inatumia nguvu hata pasipostahili,hivi huyo kikwete yupo mafichoni wapi?hayo yote ina maana anajifanya hayasikiii?damn serikali
Yuko busy anahudhuria mazishi na kuzika!
hana hata huruma kikwete,angalia hao masikini na sio hilo jeneza
mtu wa watu au mtu wa wafu?Eti aonekane mtu wa watu..wakati watu wana matatizo kila kona..