Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
salama mpenzi,cwt shem jana nlikuwa nae
haya msalimie.......umenionea wapi figganigga jamani ukimuona
mwambie anautesa moyo wangu sana
Last edited by a moderator:
salama mpenzi,cwt shem jana nlikuwa nae
Mpaka sasa jukwaa limetulia, Vin Diesel kaacha mawazo ya uasi na Erickb52 kawa mpole nadhani amejitambua, vipi umemuona Queen Kan huko katika pitapita zako.!?
nafurahi kusikia hizo habari Vin Diesel hakuwezi hata kwa dawa.......! Queen Kan nimeonana nae
huko mtaa wa pili bado tu anamulika mwizi wake
hahahaaa best kwani pale si tulikuwa tunazugia? Sasa huyu ni wamoyoni atii, ukimchomoa tu uhai sina!
Tangu lini unanizungumzia mumeo hivi....khaaa
Babe mbona umekuwa adim sana.......nakumiss sana
Nitake radhi kwanza kwa namna uliandika....
Babe mi na wewe tutamalizana 6*6 sio hapa............
Babe mi na wewe tutamalizana 6*6 sio hapa............
kama wewe ndo kamanda wa Brigade ya kuwalinda viongozi,hakyanan na mimi ntataka kuwa kiongozi