Tamko la MAT kufuatia hukumu ya Mahakam Kuu, Idara ya Kazi

Hao watakuwa zaidi ya mbayuwayu we subiri tu, kumbuka hata babu wa loliondo alijipatia umaarufu mkubwa lakini sasa media zinamuangalia kama kichefuchefu. Natamani kila anayewaona madk wako sahihi Mungu ampe mtihani ima wa kuugua yeye mwenyewe au auguze, ndio ataona kama hao wamechemka ile mbaya.

akili yako ni finyu tena unashida mno ya kufikiri jambo, ebu jiulize hao watawala wako wa ngazi za juu wameuwa wangapi kwa ubinafsi wao na uzembe wao pia kwa tamaa zao za kujirundikia raslimali zote kwenye akiba zao
 
kumbe wauwaji wako wengi. mnatanguliza matamanio ya nafsi zenu kuliko utu? viumbe wa ajabu sana. ivi mliambiwa huyo waziri atabaki pale milele? kisingizio chenu cha kugoma msidhani jamii imefurahishwa nacho. na mna bahati serikali bado imewapa kichwa sana.mtakuwa mmezingirwa na mapepo machafu, mnahitaji e muombewe.
Pepo ni Mponda na Nkya, na tuwakemeeee watutoke.
 
Tatizo la wengi wetu ni uoga tu! Tumejengwa katika uoga! Kwani ni lini watu hawafi? Kuna wanaokufa kila siku na daktari akiwaangali hivi hivi! Kisa hakuna vitendea kazi! Kwani hatujui kuwa kila kitu ni lazima kinunuliwe? Mpeleke mkeo akajifungue uone! Pamba, gloves nk lazima zikanunuliwe. Kisa hakuna kwenye hospitali husika! Daktari akidai vitendea kazi nyie mnaona wanaua! Wauaji sio hao wanaotaka kutembelea magari ya milioni mia mbili na ushee! wanaotaka kulala hoteli ya laki nne na kusema eti dola 4000 ni za matumizi madogomadogo! Hivi hamjiulizi Land Cruiser V8 tunaitaka mjini katikati kufanyia nini? Matumizi mabaya tu ya mali za watanzania. Nenda kila wilaya tanzania. Kila department ina gari 4WD. Anatumwa tarishi kununua sukari anataka gari. Doctor anataka gloves mnasema muuaji.
Wauaji ni wale wanaotumia resources zetu vibaya! Hatuitaji 4WD huku mijini na kama ni muhimu basi isiwe kila mtu 4WD kuna magari madogo ya gharama nafuu ambayo yatatosha tu. Huo ni mfano mmoja tu. iko mingi sana na hata sisi tunaijua!
 
Jamani eeeh msitake kutuhukumu kwa kuwa tuna mtazamo tofauti. Hapa ni mahala pa kubadilishana mawazo na haitakuwa vizuri hata sisi tukianza kutukana. Hakuna mtu anayepinga madaktari kudai haki yao na ile ya wananchi lakini tunachopinga ni sababu za wao kugoma.

Serikali ipo tayari kuzungumza nao muda wote ili vitu vyote vinavyotakiwa vipatikane haraka, wao wanakawiza uwezekano huo kwa kuweka masharti mawaziri wasimashwe kwanza (kuwajibishwa) ili mazungumzo yapate kuendelea. Hii kusema kweli sintounga mkono na sikuunga mkono hata safari ya kwanza kutokana na kutumia masharti yao kupitia wananchi wagonjwa as human shield ndio linatupa shida zaidi kuunganisha matakwa yao na yale ya kijamii..

Madai yao ya kwanza ndiyo ya muhimu zaidi na ndio yanayowaweka ktk vikao vyote hivi. Na nilitegemea pengine watagoma ikiwa moja ya madai ya awali hayakukubaliwa mathlan ktk makubaliano yaliyofanywa na mh. Pinda waliahidiwa ongezeko la mishahara, posho, mikopo na insurance lakini sikuona hata moja linalohusu kuboresha mazingira ya kazi au vifaa lakini walirudi kazini...

Nikabaki kujiuliza akilini hivi hawa madaktari sii wametumia zaidi sababu ya kuboresha mazingira ya kazi imekuwaje wamerudi kazini ili hali hatukuona hata moja linatugusa sisi wnanachi?. Nikasema fanya subiri mazungumzo bado yataendelea mchezo bado haijaisha..Na ukweli ni kwamba Hadi leo hii sielewi kwa nini Nyoni na yule Daktari walisimamishwa! sijui na sii tabia yangu kuunga mkono kitu bila kujua ukweli ni upi kupitia vyombo vyetu vya utawala .. nayo nikayaacha kama yalivyo...

Haya leo tena wamegoma, nikitegemea pengine itahusiana na wananchi, bado ni swala na matakwa ya madaktari kujiuzuru kwa mawaziri Mponda na Nkya ambao tunajilazimisha kutowapa benefit of the doubt isipokuwa kwa shinikizo la madaktari - Watu wanakufa ndio silaha kubwa ya madaktari...Kusema kweli mtatusamehe, kila mtu ana mtazamo wake na hakika ningependa sana kushiriki nao ktk mgomo wao ikiwa kweli tunaitaka serikali kuboresha huduma za Afya nchini lakini kilichofanyika ni kwamba madaktari wamechukua njia ya mkato na yenye madhara na machungu sana kwetu sisi wananchi. Pengine wao wamezoea kuona vifo, wanakutana navyo kila siku ya Mungu na sii ajabu kwao kuona mtu anakata roho..

Na ndio majibu nayoyasoma hapa baadhi yao wakisema kufa nini...watu wanakufa kila siku kwani kuna ajabu gani!..Binafsi yangu kama Mtanzania haya majibu ni mazito kuliko hata ya huyo waziri Mponda, lakini ndivyo wao wanavyolitazama swala hili. Sisi wote ni zao la Wazembe wanaotaka sana kutumia njia rahisi kujinufaisha. Hakuna mtu anayeitakia mema nchi hii na ndio maana madaktari wenyewe wanasema Udaktari sio kazi ya Uzalendo bali ni sawa na kazi nyinginezo tu. Well, napowasoma madaktari wangu wakiyasema haya inaniweka ktk nafasi ngumu zaidi ya kuwapa support japokuwa wanayo haki ya kudai haki zao.

Na sijui kama madaktari wetu wanaweza kwenda hudumia vitani na Red cross mabomu na baruti zilkiwalipukia kuokoa maisha ya askari na raia. Hata hivyo tunawatakia kila la kheri ila kwa mara nyingine tena sintoungana nanyi kutokana tu na sababu mnazotumia kutofanya makubaliano na serikali.. Haya yangekwisha siku nyingi sana kama kweli mlitaka kuboresha mazingira ya kazi kwa faida ya wananchi.
 
Jamani eeeh msitake kutuhukumu kwa kuwa tuna mtazamo tofauti. Hapa ni mahala pa kubadilishana mawazo na haitakuwa vizuri hata sisi tukianza kutukana. Hakuna mtu anayepinga madaktari kudai haki yao na ile ya wananchi lakini tunachopinga ni sababu za wao kugoma hasa safari hii.

Serikali ipo tayari kuzungumza nao ili vitu vyote vinavyotakwia vipatikane kwa haraka, wao wanakawiza uwezekano huo kwa kuwataka mawaziri wawili wasimamishwe kwanza (kuwajibishwa) ili mazungumzo yapate kkuendelea. Hii kusema kweli sintounga mkono na sikuunga mkono hata safari ya kwanza kutokana na kwamba vitisho wanavyotumia kwa kutumia wananchi wagonjwa as human shield ndio linatupa shida zaidi..

Mdai yao ya kwanza ndiyo ya muhimu zaidi na ndio yanayowaweka ktk vikao vyote hivi. Na nilitegemea pengine watagoma ikiwa moja ya maombi yao ya awali hayakukubaliwa mathlan ktk malubaliano yaliyofanywa na mh. Pinda waliahidiwa ongezeko la mishahara, posho, mikopo na insurance lakini sikuona hata moja linalohusu kuboresha mazingira ya kazi au vifaa lakini walirudi kazini...Nikabaki kujiuliza akilini hivi hawa madaktari sii wametumia zaidi sababu ya kuboresha mazingira ya kazi imekuwaje wametudi kazini ili hali hatukuona hata moja linatugusa sisi?. Nikasema fanya subiri mazungumzo bado yanaendelea mchezo bado haijaisha..Na ukweli ni kwamba Hadi leo hii sielewi kwa nini Nyoni na yule Daktari walisimamishwa! sijui na sii tabia yangu kuunga mkono kitu bila kujua ukweli.. nayo nikayaacha kama yalivyo...

Haya leo tena wamegoma, nikitegemea pengine itahusiana na wananchi, bado ni swala na matakwa ya madaktari kujiuzuru kwa mawaziri Mponda na Nkya ambao tunajilazimisha kutowapa benefit of the doubt isipookuwa kwa shinikizo la madaktari - Watu wanakufa ndio silaha kubwa ya madaktari...Kusema kweli mtatusamehe, kila mtu ana mtazamo wake na hakika ningependa sana kushiriki nao ktk mgomo wao ikiwa kweli tunaitaka serikali kuboresha huduma za Afya nchini lakini kilichofanyika ni kwamba madaktari wamechukua njia ya mkato na yenye madhara na machungu sana kwetu sisi wananchi. Pengine wao wamezoea kuona vifo, wanakutana navyo kila siku ya Mungu na sii ajabu kwao kuona mtu anakata roho..

Na ndio majibu nayoyasoma hapa baadhi yao wakisema kufa, watu wanakufa kila siku kwa nini kuna ajabu gani!..Binafsi yangu kama Mtanzania haya majibu ni mazito kuliko hata ya huyo waziri Mponda lakini ndivyo wao wanavyolitazama swala hili. Sisi wote nmi zao la Wazembe wanaotaka sana kutumia njia rahisi kujinufaisha. Hakuna mtu anayeitakia mema nchi hii na ndio maana madaktari wenyewe wanasema Udaktari sio kazi ya Uzalendo bali ni sawa na kazi nyinginezo tu. Well, napowasoma madaktari wangu wakiyasema haya inaiweka ktk nafasi ngumu zaidi ya kuwapa support japokuwa wanayo haki ya kudai haki zao.

Na sijui kama madaktari wetu wanaweza kwenda hudumia vitani na Red cross mabomu na baruti zilkiwalipukia kuokoa maisha ya askari na raia. Hata hivyo tunawatakia kila la kheri ila kwa mara nyingine tena sintoungana nanyi kutokana tu na sababu mnazotumia kutofanya makubaliano na serikali.. Haya yangekwisha siku nyingi sana kama kweli mlitaka kuboresha mazingira ya kazi kwa faida ya wananchi.

Hawawezi na hawatoweza. Fani ya udaktari inafundishwa na vyuo vya nje, cha kwanza kinachofundishwa ni nidhamu ya hali ya juu.

Wewe Daktari afundishwe Muhimbili huyo ni daktari? hata ukienda kupewa huduma tazama tofauti za madaktari waliofundishwa Ulaya na madaktari waliofundishwa Muhimbili, ni kama ardhi na Mbingu. Hawaelekei hata kidogo.
 
Hawawezi na hawatoweza. Fani ya udaktari inafundishwa na vyuo vya nje, cha kwanza kinachofundishwa ni nidhamu ya hali ya juu.

Wewe Daktari afundishwe Muhimbili huyo ni daktari? hata ukienda kupewa huduma tazama tofauti za madaktari waliofundishwa Ulaya na madaktari waliofundishwa Muhimbili, ni kama ardhi na Mbingu. Hawaelekei hata kidogo.
Acha dharau huna ukweli wowote.labda mjomba wako yule mwenye roho mbaya maarufu kwa kuua vichanga aliyesomaga muhimbili ndiyo unamfananisha na wengine la hasha usiseme hivyo utachekwa sana rafiki yangu
 
Jamani eeeh msitake kutuhukumu kwa kuwa tuna mtazamo tofauti. Hapa ni mahala pa kubadilishana mawazo na haitakuwa vizuri hata sisi tukianza kutukana. Hakuna mtu anayepinga madaktari kudai haki yao na ile ya wananchi lakini tunachopinga ni sababu za wao kugoma.

Serikali ipo tayari kuzungumza nao muda wote ili vitu vyote vinavyotakiwa vipatikane haraka, wao wanakawiza uwezekano huo kwa kuweka masharti mawaziri wasimashwe kwanza (kuwajibishwa) ili mazungumzo yapate kuendelea. Hii kusema kweli sintounga mkono na sikuunga mkono hata safari ya kwanza kutokana na kutumia masharti yao kupitia wananchi wagonjwa as human shield ndio linatupa shida zaidi kuunganisha matakwa yao na yale ya kijamii..

Madai yao ya kwanza ndiyo ya muhimu zaidi na ndio yanayowaweka ktk vikao vyote hivi. Na nilitegemea pengine watagoma ikiwa moja ya madai ya awali hayakukubaliwa mathlan ktk makubaliano yaliyofanywa na mh. Pinda waliahidiwa ongezeko la mishahara, posho, mikopo na insurance lakini sikuona hata moja linalohusu kuboresha mazingira ya kazi au vifaa lakini walirudi kazini...

Nikabaki kujiuliza akilini hivi hawa madaktari sii wametumia zaidi sababu ya kuboresha mazingira ya kazi imekuwaje wamerudi kazini ili hali hatukuona hata moja linatugusa sisi wnanachi?. Nikasema fanya subiri mazungumzo bado yataendelea mchezo bado haijaisha..Na ukweli ni kwamba Hadi leo hii sielewi kwa nini Nyoni na yule Daktari walisimamishwa! sijui na sii tabia yangu kuunga mkono kitu bila kujua ukweli ni upi kupitia vyombo vyetu vya utawala .. nayo nikayaacha kama yalivyo...

Haya leo tena wamegoma, nikitegemea pengine itahusiana na wananchi, bado ni swala na matakwa ya madaktari kujiuzuru kwa mawaziri Mponda na Nkya ambao tunajilazimisha kutowapa benefit of the doubt isipokuwa kwa shinikizo la madaktari - Watu wanakufa ndio silaha kubwa ya madaktari...Kusema kweli mtatusamehe, kila mtu ana mtazamo wake na hakika ningependa sana kushiriki nao ktk mgomo wao ikiwa kweli tunaitaka serikali kuboresha huduma za Afya nchini lakini kilichofanyika ni kwamba madaktari wamechukua njia ya mkato na yenye madhara na machungu sana kwetu sisi wananchi. Pengine wao wamezoea kuona vifo, wanakutana navyo kila siku ya Mungu na sii ajabu kwao kuona mtu anakata roho..

Na ndio majibu nayoyasoma hapa baadhi yao wakisema kufa nini...watu wanakufa kila siku kwani kuna ajabu gani!..Binafsi yangu kama Mtanzania haya majibu ni mazito kuliko hata ya huyo waziri Mponda, lakini ndivyo wao wanavyolitazama swala hili. Sisi wote ni zao la Wazembe wanaotaka sana kutumia njia rahisi kujinufaisha. Hakuna mtu anayeitakia mema nchi hii na ndio maana madaktari wenyewe wanasema Udaktari sio kazi ya Uzalendo bali ni sawa na kazi nyinginezo tu. Well, napowasoma madaktari wangu wakiyasema haya inaniweka ktk nafasi ngumu zaidi ya kuwapa support japokuwa wanayo haki ya kudai haki zao.

Na sijui kama madaktari wetu wanaweza kwenda hudumia vitani na Red cross mabomu na baruti zilkiwalipukia kuokoa maisha ya askari na raia. Hata hivyo tunawatakia kila la kheri ila kwa mara nyingine tena sintoungana nanyi kutokana tu na sababu mnazotumia kutofanya makubaliano na serikali.. Haya yangekwisha siku nyingi sana kama kweli mlitaka kuboresha mazingira ya kazi kwa faida ya wananchi.

Pamoja na mambo yote hayo aliahidi kuongeza budget ya muhimbili na Dr Ulimboka alimkumbusha kuwa budget finyu cyo tatizo la Muhimbili tu bali hospitali zote.Aliahidi pia kuiunda upya wizara ya afya kwa kuwatoa Nkya,Mponda,Nyoni na Mtasiwa then kuziunda upya kurugenzi za wizara ili afya isimamiwe vema.
 
Sijui nani kawashauri watumie mahakama?


ENDAPO kama MLIMSIKILIZA WAZIRI MKUU siku moja kabla na siku ya 03-03-2012 jioni alipokuwa anaongea hadi mishipa ya shingo ikasimama alisema kuwa "SERIKALI IMEJIPANGA NA IPO TAYARI ENDAPO MADAKITARI WATAGOMA"

Hivyo ni kwamba Serikali imejipanga kwa kukimbilia mahakamani.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hawawezi na hawatoweza. Fani ya udaktari inafundishwa na vyuo vya nje, cha kwanza kinachofundishwa ni nidhamu ya hali ya juu.

Wewe Daktari afundishwe Muhimbili huyo ni daktari? hata ukienda kupewa huduma tazama tofauti za madaktari waliofundishwa Ulaya na madaktari waliofundishwa Muhimbili, ni kama ardhi na Mbingu. Hawaelekei hata kidogo.

Hao hao walosomea pale Muhimbili ndo unaowaomba waache mgomo ili waje wakutibu kichaa chako! Kweli india kumekudhuru sana!
 
Jamani eeeh msitake kutuhukumu kwa kuwa tuna mtazamo tofauti. Hapa ni mahala pa kubadilishana mawazo na haitakuwa vizuri hata sisi tukianza kutukana. Hakuna mtu anayepinga madaktari kudai haki yao na ile ya wananchi lakini tunachopinga ni sababu za wao kugoma.

Serikali ipo tayari kuzungumza nao muda wote ili vitu vyote vinavyotakiwa vipatikane haraka, wao wanakawiza uwezekano huo kwa kuweka masharti mawaziri wasimashwe kwanza (kuwajibishwa) ili mazungumzo yapate kuendelea. Hii kusema kweli sintounga mkono na sikuunga mkono hata safari ya kwanza kutokana na kutumia masharti yao kupitia wananchi wagonjwa as human shield ndio linatupa shida zaidi kuunganisha matakwa yao na yale ya kijamii..

Madai yao ya kwanza ndiyo ya muhimu zaidi na ndio yanayowaweka ktk vikao vyote hivi. Na nilitegemea pengine watagoma ikiwa moja ya madai ya awali hayakukubaliwa mathlan ktk makubaliano yaliyofanywa na mh. Pinda waliahidiwa ongezeko la mishahara, posho, mikopo na insurance lakini sikuona hata moja linalohusu kuboresha mazingira ya kazi au vifaa lakini walirudi kazini...

Haya leo tena wamegoma, nikitegemea pengine itahusiana na wananchi, bado ni swala na matakwa ya madaktari kujiuzuru kwa mawaziri Mponda na Nkya ambao . Haya yangekwisha siku nyingi sana kama kweli mlitaka kuboresha mazingira ya kazi kwa faida ya wananchi.


Ndugu Mkandala,

Moja ya madai yaliyopendekezwa toka awali ni kuboresha huduma za afya nchini ikiwa ni pamoja na vitendea kazi, pia kuwaondoa watendaji wakuu akiwemo Waziri na Naibu wake, na hayo uliyoyataja.

Waziri mkuu aliwaahidi kutekeleza kwa awamu, NDIYO TUKAKUBALI!!!!!

Akamuondoa Dakitari Mkuu na Katibu Mkuu, NDIYO TUKAKUBALI,

Akaongeza Posho kiasi fulani na kuahidi kuongeza tena katika bajeti nyingine, NDIYO TUKAKUBALI!!!

Asema kuhusu Waziri na Naibu atamshauri Raisi ili waondolewe, NDIYO TUKAKUBALI!!!!!!!


SASA IWEJE LEO MNAKATAA MANENO YENU WENYEWE MLIYOSEMA HADHARANI. MUONDOE WAZIRI NA NAIBU WAKE, KWANI KUNA UGUMU GANI IKIWA ULISHAKUBALI. AU UNATUFANYA WATOTO WADOGO KUTUDANGANYA.

HILI SUALA LA WAZIRI SIYO GENI LILIKUWEPO KATIKA MADAI YA MWANZO. FUATILIA VIZURI MLOLONGO WA AWALI. NA KUHUSU VIFAA ALIAHIDI KUTEKELEZA.

ELEWA MTU MZIMA ATISHIWI NYAU!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Umekosea. Serikali imejipanga kwa kuwapa gahwa na juisi ya tende Ikulu na hiyo ni balaa kwa kunyamazisha kelele. Hata kina Mbowe na Slaa walifanyiwa hivyo na toka walipopewa hizo juisi za tende umewasikia tena wakisema hovyo?
 
Hawawezi na hawatoweza. Fani ya udaktari inafundishwa na vyuo vya nje, cha kwanza kinachofundishwa ni nidhamu ya hali ya juu.

Wewe Daktari afundishwe Muhimbili huyo ni daktari? hata ukienda kupewa huduma tazama tofauti za madaktari waliofundishwa Ulaya na madaktari waliofundishwa Muhimbili, ni kama ardhi na Mbingu. Hawaelekei hata kidogo.


WEWE UBONGO WAKO HAUPO sawa KABISA UMEJAA TOPE na HUJUI ULISEMALO. INABIDI TUKUSAMEHE BURE.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 

Ndugu Mkandala,

Moja ya madai yaliyopendekezwa toka awali ni kuboresha huduma za afya nchini ikiwa ni pamoja na vitendea kazi, pia kuwaondoa watendaji wakuu akiwemo Waziri na Naibu wake, na hayo uliyoyataja.

Waziri mkuu aliwaahidi kutekeleza kwa awamu, NDIYO TUKAKUBALI!!!!!

Akamuondoa Dakitari Mkuu na Katibu Mkuu, NDIYO TUKAKUBALI,

Akaongeza Posho kiasi fulani na kuahidi kuongeza tena katika bajeti nyingine, NDIYO TUKAKUBALI!!!

Asema kuhusu Waziri na Naibu atamshauri Raisi ili waondolewe, NDIYO TUKAKUBALI!!!!!!!


SASA IWEJE LEO MNAKATAA MANENO YENU WENYEWE MLIYOSEMA HADHARANI. MUONDOE WAZIRI NA NAIBU WAKE, KWANI KUNA UGUMU GANI IKIWA ULISHAKUBALI. AU UNATUFANYA WATOTO WADOGO KUTUDANGANYA.

HILI SUALA LA WAZIRI SIYO GENI LILIKUWEPO KATIKA MADAI YA MWANZO. FUATILIA VIZURI MLOLONGO WA AWALI. NA KUHUSU VIFAA ALIAHIDI KUTEKELEZA.

ELEWA MTU MZIMA ATISHIWI NYAU!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Samahani unaweza kunipa nakala ya taarifa nzima ya makubaliano hayo ya mwanzo?..Na kama yote haya yalipitishwa wanakutana tena kwa majadiliano yapi? na mgomo huu unatokana na kwamba zile ahadi hazikutekelezwa au? Na mbona hotuba ya Pinda inasema tofauti akisema wazi kwamba sii jukumu lake kuachisha mawaziri kazi lakini madaktari wanasema Pinda aliwaahidi hivyo.. Huoni kaa hapa kuna tatizo, hata mimi ambaye sikwenda shule najua fika Pinda hana mamlaka hayo sasa akiniahidi kuwaachisha kazi mawaziri itakuwa vigumu sana kuamini unless najua atawakilisha ombi hilo kwa Rais...Aaah kubishana nimechoka.. a lot of your claims doesn't add up!

Pinda:- Hata hivyo, alisema katika kikao cha majadiliano na Serikali kilichoongozwa kwa upande wa Serikali na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. George Yambesi, huku madaktari hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa MAT, Dk. Namala Mkopi, waligoma kuendelea na mazungumzo wakitaka viongozi hao wasimamishwe kwanza ndipo majadiliano yaendelee."Niliambiwa kuwa wakati kikao hicho kinaanza, madaktari waliweka masharti ya kutaka viongozi hawa wasimamishwe ndipo majadiliano mengine yaendelee, nikajiuliza kwa nini wang'ang'anie masharti haya wakati tayari Serikali ilishasema yanashughulikiwa?" alihoji na kuongeza kuwa: "Anachofahamu ni kwamba viongozi hao wawili nafasi zao ni za kisiasa na mwenye mamlaka ya kuwateua ni Mheshimiwa Rais"."Hivyo, kitendo cha Mkuu wa Nchi kupewa saa 72 awe amewasimamisha kazi, kwanza mimi sikubaliani nacho na ninajua hata Rais mwenyewe hatakubaliana nacho," alisema

"Ndiyo maana nashangaa wenzetu hawa kulileta suala hili leo, wakati tulishatoka nao mbali hadi kufikia kusimamisha kwanza Katibu Mkuu na Mganga Mkuu, ili kupisha uchunguzi huku madai mengine yakishughulikiwa, nashangaa kuibuka kwa masharti haya mapya labda kama wenzetu wana jambo lingine," alisema
Source:- Bofya
 
Back
Top Bottom