Tamko la MAT kufuatia hukumu ya Mahakam Kuu, Idara ya Kazi

Hao watakuwa zaidi ya mbayuwayu we subiri tu, kumbuka hata babu wa loliondo alijipatia umaarufu mkubwa lakini sasa media zinamuangalia kama kichefuchefu. Natamani kila anayewaona madk wako sahihi Mungu ampe mtihani ima wa kuugua yeye mwenyewe au auguze, ndio ataona kama hao wamechemka ile mbaya.
hayo maombi yako yataishia hewani tu, ungeomba serikali ifunguke na kujali wananchi, kwani Mponda na Nkya wana gharama gani bwana?
 
Hao watakuwa zaidi ya mbayuwayu we subiri tu, kumbuka hata babu wa loliondo alijipatia umaarufu mkubwa lakini sasa media zinamuangalia kama kichefuchefu. Natamani kila anayewaona madk wako sahihi Mungu ampe mtihani ima wa kuugua yeye mwenyewe au auguze, ndio ataona kama hao wamechemka ile mbaya.

Mkuu, hivi unajua mmoja mmoja tumekuwa tukiwalaumu madaktari kwa sababu ambazo wao siyo chanzo? Mfano vifo vya watoto na wazazi: http://www.nytimes.com/packages/html/world/2009-maternalmortality/index.html
 
tatizo la wana jf tumelewa madaraka ya kurusha thred.kwanini usilete taarifa iliyokamilika ili wana jukwaa wafahamu kilichotokea badala yake unaleta matapishi yako????????

nadhani mods wako likizo.thred kama hii inatakiwa isionekane hapa ipelekwe kwenye jukwaa la mapenzi.

title inaashiria kitu mhm kwa jamii lakini ndani utumbo.tubadilike ili kuipa heshma jf
 
1: Mahakama imekuwa biased kwa kumsikiliza mlalamikaj pasi Kumsikiliza Mlalamikiwa.
2. Mahakama ilitakiwa pia kumpa Mlalamikaji Time frame ya kusema ni lini atapatia ufumbuzi madai ya Mlalamikiwa.

Mwisho kabisa: Haturud Nyuma hadi kieleweke

acha kihere here,toa taarifa kamili wana jf wajue jambo kwa kina na kwa ufasaha wake.
 
Ebu na nyie jamani fikirini toka akilini mwenu wenyewe.. Alijiuzu Msabah ktk swala la Umeme umetusaidia vipi?.. Richmond bado ipo nchini na inafanya kazi kwa jina tofauti tu. Akajiuzuru Karamagi kwa swala la Buswagi leo Barrick wanaendelea kuchimba dhahabu Buswagi.. Sasa hawa watu huwa mnataka wajiuzuru ili iweje?..The end justify the means - what means!
hoja yako ni nini hapo sasa?
what do you know about DOCTOR'S swagga?
what means?....TO PAVE THE WAY TO SUSTAINABLE NEGOTIATION.
 
Kwa kweli hili jambo ni delicate sana na nakubaliana na hoja za pande zote mbili.

Tatizo lipo kwenye uongozi. Uongozi bora,imara, makini, madhubuti na wenye busara usingeruhusu hii brinkmanship iliyopo hivi sasa.

hoja za watetezi wa serikali ni: viongozi ni delicate zaidiya wagonjwa ndio maana hawaguswi!!!!
 
Acha u.ji.nga. Wa kupingana na serikali!tii mamlaka ya kidunia

Hii ni serikali au ni siri mavi. Umewahi kuona wapi serikali inayolinda mafisadi na kuwaneemesha ile hali ikiwatelekeza raia wake wema. Acha kejeli za kisenge mkuda mkubwa wewe!!!
 
Acha u.ji.nga. Wa kupingana na serikali!tii mamlaka ya kidunia
Bible inasema muheshimu Baba yako katika haki na mambo mema.Baba akitaka kumubaka binti yake anatakiwa kumupiga na kumutii Mungu kwa kumupinga
 
Mnawaona maDr. kuwa ndo wauaji,TARIME hamkuona?ARUSHA,polisi kule Songea?haya.ELIMU MBOVU HAMUONI NAYO NI MAUAJI?wakaz wa Serenget waliochomewa nyumba kupisha hifadh hayakuwa mauaji?,Mauaji ya Z'bar je mwaka 2000? Tusidanganyane hakuna uzalendo kama hakuna maslah,uwepo wa rushwa,uporaj wa mali za umma nk,waTZ tulikuwa wazalendo coz kila mtu aljua serikal siyo corrupt mf. Vita ya Kagera watu walijitoa sna.LAKIN SERIKAL HII INAYOFANYA MATANUZ NA MABILION KWA KUONESHA VIFARU SHEREHE YA MIAKA 50 YA UHURU KAMWE SIWAPINGI MADR. Wanajali taifa na maisha yao binafsi.
 
Acha u.ji.nga. Wa kupingana na serikali!tii mamlaka ya kidunia

Mbona unakufuru!
Hujui kwamba mamlaka ya kidunia LAZIMA ITII MAMLAKA ILIYO KUU YA MMungu, kwa kutenda HAKI!
 
All professionals are made by teachers,so doctors siyo wamuhimu pekee yao hapa nchini na duniani kwa ujumla hasa ukizingatia kuwa wapo wazee wa enzi hizo walishi miaka mingi bila hata kutibiwa na madaktari hata siku koja.Kwa hiyo wanapaswa kuelewa kuwa hako kasungura ka serikali yetu wengeni wanakahitaji pia wasikachukue kote
 
Wale wale wa mawazo mgando, kwa taarifa yako nchi yetu ni ya demokrasia na tuna haki ya kusema kama kuna kitu hatukipendi au hakitulizishi na hawa viongozi waliowaweka hatuwataki kwani hawana manufaa kwa sisi na kwa wananchi tunaowatumikia.
 
Jaji mwenyewe ameshindwa hata kipengele kidogo kuwa sheria huwa haifanyi kazi kinyume- the law shall nary apply retrospectively in whatever matter brought before the court. Hata tukiangalia vipengele vinavyoruhusu mahakama kusikiliza shauri upande mmoja au exparte bado kuna utata ukiachia mbali timming ya hukumu husika. Inashangaza ni kwanini jaji alijiruhusu kusikiliza suala ambalo kisheria si kosa. Kugoma katika Tanzania si kosa la jinai. Bwana Rweyemamu kama kweli hataki kudhalilisha taaluma na mahakama, alipaswa kufikiri upya ingawa maji yameishamwagika kwa upande wake. Je Mahakama itajiruhusu kudhalilishwa kutokana na maamuzi ya kisiasa na si kisheria?
 
Inapofikia madaktari wanatoa pesa zao kuwasaidia wagonjwa kununua dawa ujue tumefika pahala sipo, hivyo mgomo huo kwa wenye fikra pevu ulikuwa sahihi sana. No sweet without sweat bwama
 
Inapofikia madaktari wanatoa pesa zao kuwasaidia wagonjwa kununua dawa ujue tumefika pahala sipo, hivyo mgomo huo kwa wenye fikra pevu ulikuwa sahihi sana. No sweet without sweat bwana
 
'you have to perform organization goal and personal goal',if one of this is missing that is not a right place for you 'take action', for those u know management ,they know this phenomena.
 
kuna mtu alienda kushtaki mahakamani au mahakama ilikurupuka? hivi mahakama kumbe inaweza kutolea vitu matamko?
 
Back
Top Bottom