Tamko la MAT kufuatia hukumu ya Mahakam Kuu, Idara ya Kazi

Hao watakuwa zaidi ya mbayuwayu we subiri tu, kumbuka hata babu wa loliondo alijipatia umaarufu mkubwa lakini sasa media zinamuangalia kama kichefuchefu. Natamani kila anayewaona madk wako sahihi Mungu ampe mtihani ima wa kuugua yeye mwenyewe au auguze, ndio ataona kama hao wamechemka ile mbaya.


Katembelee wodi ya kina mama Temeke uone jinsi wakinamama wanavyojifungulia sakafuni na vitoto vyao ndio utajua madaktari wanaongelea nini..
 
kwahiyo na we Nyani unaona mko sahihi kugoma? kwa lipi hasa wewe unaliona lina tija mpaka muwe sehemu ya vifo vya watu? Ukiunga mkono ukatili huo ujue hiyo damu iko juu yenu
MBONA LIKO WAZI NI JK NA MAWAZILI WAKE WANAUA! kwani kuwatimua watu 2 tabu ipo wapi!?
siungi mkono mgomo ila pia sifurahishwi na kilaza huyu kushindwa kuyatimua maboga yake
 
kwahiyo na we Nyani unaona mko sahihi kugoma? kwa lipi hasa wewe unaliona lina tija mpaka muwe sehemu ya vifo vya watu? Ukiunga mkono ukatili huo ujue hiyo damu iko juu yenu

Kwa kweli hili jambo ni delicate sana na nakubaliana na hoja za pande zote mbili.

Tatizo lipo kwenye uongozi. Uongozi bora,imara, makini, madhubuti na wenye busara usingeruhusu hii brinkmanship iliyopo hivi sasa.
 
kumbe wauwaji wako wengi. mnatanguliza matamanio ya nafsi zenu kuliko utu? viumbe wa ajabu sana. ivi mliambiwa huyo waziri atabaki pale milele? kisingizio chenu cha kugoma msidhani jamii imefurahishwa nacho. na mna bahati serikali bado imewapa kichwa sana.mtakuwa mmezingirwa na mapepo machafu, mnahitaji muombewe.
kwann unalaumu madokta?
kwani mponda na nkya wakijiuzulu kutatokea nn kwa watanzania?
hilo siyo dai jipya ,na tarehe 9 february pinda aliwahidi madokta kuwa rais atalishughulikia hilo.
watanzania amkeni ,kuwa kiongozi siyo umungu mtu ...wajibikeni kwa wananchi wenu.
 
kwahiyo na we Nyani unaona mko sahihi kugoma? kwa lipi hasa wewe unaliona lina tija mpaka muwe sehemu ya vifo vya watu? Ukiunga mkono ukatili huo ujue hiyo damu iko juu yenu

mkatili baba mwanaasha
 
Hao watakuwa zaidi ya mbayuwayu we subiri tu, kumbuka hata babu wa loliondo alijipatia umaarufu mkubwa lakini sasa media zinamuangalia kama kichefuchefu. Natamani kila anayewaona madk wako sahihi Mungu ampe mtihani ima wa kuugua yeye mwenyewe au auguze, ndio ataona kama hao wamechemka ile mbaya.
Mkuu uwe unakwenda hospitali si lazima uumwe walau kuwatembelea wagojwa ndiyo utaelewa linaloongelewa na mdr!
tatizo lenu watu WAAPOLO MNAMAJIVUNO NA MAJIGAMBO SANA!
 
Mkuu wewe ndio umetoa hilo tamko? Hilo tamko si la kimaandishi kama ni la kimaandishi tuwekee basi hapa kwa kuwa siamini kuwa tamko linaweza kuwa fupi kama hivyo.

Kwani amri ya mahakama uliionyeshwa! ulisoma kesi iliendeshwaje. umeambiwa no retreat no surrender!
 
Kuna ka twitter hapa chini kanasema ati JK amekutana na viongozi wa MAT Ikulu, hii ikoje kuna mtu ana habari zozote? Sitaki kuichukua na kuiweka kama thread. Iangalieni hapo chini kulia kuna mtu anajiita Tanganyikan
 
kumbe wauwaji wako wengi. mnatanguliza matamanio ya nafsi zenu kuliko utu? viumbe wa ajabu sana. ivi mliambiwa huyo waziri atabaki pale milele? kisingizio chenu cha kugoma msidhani jamii imefurahishwa nacho. na mna bahati serikali bado imewapa kichwa sana.mtakuwa mmezingirwa na mapepo machafu, mnahitaji muombewe.
Kuna Dr. rafiki yangu alipokuwa intern Mtwra vijijini, alishuhudia mgonjwa anakufa kwa kukosa kidonge cha chloroquine(dawa ya malaria at that time). Ungekuwa wewe ungeshauri vipi serikali yako?. Doctors need a better invironment for their job, which is good for you and your next generation Sir. Muhimbili hawana gastroscope, hawana machine za kupimia HBev DNA...just imagine na dunia hii ya sasa hatari Boss... Think bigger please kwa AJILI YA WAJUKUU WAKO
 
Acha u.ji.nga. Wa kupingana na serikali!tii mamlaka ya kidunia

mamlaka zilizowekwa kwanguvu ya risasi na wizi haziwezi kushawishi walio chini yake wakazitii hata siku moja. Nyie ndo mnaoamini serikali ni viongozi na wake zao. Ndo maana mama mwanaasha akija mikoani mnamsomea riport ya utendaji wa idara zenu. Jua kudai haki yako mkuu,hakuna atakayekupatia.
 
1: Mahakama imekuwa biased kwa kumsikiliza mlalamikaj pasi Kumsikiliza Mlalamikiwa.
2. Mahakama ilitakiwa pia kumpa Mlalamikaji Time frame ya kusema ni lini atapatia ufumbuzi madai ya Mlalamikiwa.

Mwisho kabisa: Haturud Nyuma hadi kieleweke
Acha upotoshaji ndugu Bramo. Hakunatamko lolote kutoka MAT. Kikao na kiongozi mkuu wa nchi kinaendelea. Hilo ni tamko lako.:hand:
 
Acha u.ji.nga. Wa kupingana na serikali!tii mamlaka ya kidunia


Sasa ujinga wake umetoka wapi? Hili ni suala la kisheria na MAT inamwanasheria wake. Kama serikali ya vichwa maji walikimbilia mahakamani kuna tatizo gani mati wakifanya hvo?

TAREHE ULOJIUNGA JF INASHIRIA UMETUMWA. KAMWAMBIE BOSI WAKO HII NGOMA NGUMU NDO MANA PAMOJA NA TAMKO LA MAHAKAMA KAWAITA VIONGOZI WA MADAKTARI IKULU KUWAPIGIA MAGOTI. ACHA UNAFIKI.
 
Kuna ka twitter hapa chini kanasema ati JK amekutana na viongozi wa MAT Ikulu, hii ikoje kuna mtu ana habari zozote? Sitaki kuichukua na kuiweka kama thread. Iangalieni hapo chini kulia kuna mtu anajiita Tanganyikan

Ni kweli mkuu, taarifa hzo zpo ndani ya MAT facebook na picha zinaonesha kamanda Dr Ulimboka Yupo ndani ya magogoni kumtia hofu JK. kikao kinaendeleasaizi.
 
Acha upotoshaji ndugu Bramo. Hakunatamko lolote kutoka MAT. Kikao na kiongozi mkuu wa nchi kinaendelea. Hilo ni tamko lako.:hand:

Wewe ndo unayepotosha umma kama huna taarifa za kutosha usiongee, sio lazima ucoment kila thread.

Tangu alfajiri MAT wamekuwa wakiwajibika na Mwanasheria wao kupata ufafanuzi wa kisheria kuhusu Tamko la Mahakama div/ihen ya Kazi la Kusitisha mgomo na hilo ndilo tamko. Hutaki leta lako

HUYO MKUU WA NCHI KWANI HAJU tamko mpaka awaite ikulu kuwapigia magoti? Hii ngoma nzito vibaraka mnaweweseka na akicheza itamtoa ikulu.
 
kwann unalaumu madokta?
kwani mponda na nkya wakijiuzulu kutatokea nn kwa watanzania?
hilo siyo dai jipya ,na tarehe 9 february pinda aliwahidi madokta kuwa rais atalishughulikia hilo.
watanzania amkeni ,kuwa kiongozi siyo umungu mtu ...wajibikeni kwa wananchi wenu.
Ebu na nyie jamani fikirini toka akilini mwenu wenyewe.. Alijiuzu Msabah ktk swala la Umeme umetusaidia vipi?.. Richmond bado ipo nchini na inafanya kazi kwa jina tofauti tu. Akajiuzuru Karamagi kwa swala la Buswagi leo Barrick wanaendelea kuchimba dhahabu Buswagi.. Sasa hawa watu huwa mnataka wajiuzuru ili iweje?..The end justify the means - what means!
 
kumbe wauwaji wako wengi. mnatanguliza matamanio ya nafsi zenu kuliko utu? viumbe wa ajabu sana. ivi mliambiwa huyo waziri atabaki pale milele? kisingizio chenu cha kugoma msidhani jamii imefurahishwa nacho. na mna bahati serikali bado imewapa kichwa sana.mtakuwa mmezingirwa na mapepo machafu, mnahitaji muombewe.
uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana unashangaa nini kuvuna majani ya bangi wakati ulipanda bangi chanzo cha yote haya hukijui nani aliyetufikisha hapa kwa maamuzi ya zimamoto kama Watanzania kama wewe mpo wengi hivi Taifa letu linasafari ndefu sana thinkbroader ndugu acha ufinyu wa kufikiri tibu ugonjwa usitibu dalili shame on you.
 
Back
Top Bottom