Tamko la Mark Pompeo (US Secretary of State) dhidi ya Paul Makonda ni aibu sana kwa Mhashamu Baba Kadinali Pengo!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Dec 10, 2016
1,651
5,126
Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!

Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !

Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
 
Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo " reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!

Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !

Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Pengo ni aibu kwa Wakatoliki
 
Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!

Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !

Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Kwani kila anachosema USA ni sahihi? Marekani anaangalia maslahi yake popote pale, kiukweli dunia hii kuna wauwaji wengi na wakubwa kuliko mnavyofikiria, mbona huyo mmarekani hamkemei Israel anavyoua wapalestina? Lazima mkubali hapa suala kubwa ni la ushoga, wameshindwa kuleta vilainishi vyao vya kuendeleza ushoga wanadai Makonda ni muuaji, they are shitholes kabisa, wameharibu Libya, Iraq, Syria na mataifa mengine kwa maslahi yao na huko kote kuna wauaji wakubwa mbona hawajawazuia, pumbavu sana hawa Marekani, wanadhani dunia hii ni yao? Juzi wamemuua Generali wa Iran na Trump katangaza hadharani kuwa ndie aliyeamuru auwawe kwa tuhuma zisizothibitishwa, sasa nani muuaji hapa, pumbavu zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu cha ajabu watu huwa wanaabudu huyu Great Satan USA.
Kwani kila anachosema USA ni sahihi? Marekani anaangalia maslahi yake popote pale, kiukweli dunia hii kuna wauwaji wengi na wakubwa kuliko mnavyofikiria, mbona huyo mmarekani hamkemei Israel anavyoua wapalestina? Lazima mkubali hapa suala kubwa ni la ushoga, wameshindwa kuleta vilainishi vyao vya kuendeleza ushoga wanadai Makonda ni muuaji, they are shitholes kabisa, wameharibu Libya, Iraq, Syria na mataifa mengine kwa maslahi yao na huko kote kuna wauaji wakubwa mbona hawajawazuia, pumbavu sana hawa Marekani, wanadhani dunia hii ni yao? Juzi wamemuua Generali wa Iran na Trump katangaza hadharani kuwa ndie aliyeamuru auwawe kwa tuhuma zisizothibitishwa, sasa nani muuaji hapa, pumbavu zao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!

Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !

Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Kipindi anamsifia Makonda nilimuita "Askofu Mpumbavu" na sitothubutu kujutia kauli yangu hiyo. Nasikitika sana wapo watu wanaoenda kusujudu mbele yake!
 
Kwani kila anachosema USA ni sahihi? Marekani anaangalia maslahi yake popote pale, kiukweli dunia hii kuna wauwaji wengi na wakubwa kuliko mnavyofikiria, mbona huyo mmarekani hamkemei Israel anavyoua wapalestina? Lazima mkubali hapa suala kubwa ni la ushoga, wameshindwa kuleta vilainishi vyao vya kuendeleza ushoga wanadai Makonda ni muuaji, they are shitholes kabisa, wameharibu Libya, Iraq, Syria na mataifa mengine kwa maslahi yao na huko kote kuna wauaji wakubwa mbona hawajawazuia, pumbavu sana hawa Marekani, wanadhani dunia hii ni yao? Juzi wamemuua Generali wa Iran na Trump katangaza hadharani kuwa ndie aliyeamuru auwawe kwa tuhuma zisizothibitishwa, sasa nani muuaji hapa, pumbavu zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno yako ya kujipendekeza yangekuwa na maana kama Makonda angekuwa anatuhumiwa kuua Wamarekani, lakini anatuhumiwa kuua Watanzania wenzetu. Halafu mijitu inataka tumlaumu Israel kwa mauaji ya Wapalestina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kila anachosema USA ni sahihi? Marekani anaangalia maslahi yake popote pale, kiukweli dunia hii kuna wauwaji wengi na wakubwa kuliko mnavyofikiria, mbona huyo mmarekani hamkemei Israel anavyoua wapalestina? Lazima mkubali hapa suala kubwa ni la ushoga, wameshindwa kuleta vilainishi vyao vya kuendeleza ushoga wanadai Makonda ni muuaji, they are shitholes kabisa, wameharibu Libya, Iraq, Syria na mataifa mengine kwa maslahi yao na huko kote kuna wauaji wakubwa mbona hawajawazuia, pumbavu sana hawa Marekani, wanadhani dunia hii ni yao? Juzi wamemuua Generali wa Iran na Trump katangaza hadharani kuwa ndie aliyeamuru auwawe kwa tuhuma zisizothibitishwa, sasa nani muuaji hapa, pumbavu zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
U
USA wameongea ukweli ila wamejaribu kufichaficha sababu za kimzuiya Makonda.
Wewe umeongoea ukweli mtupu bila kupepesa macho, nyeupe umeita nyeupe, nyeusi umeita nyeusi.
 
Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!

Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!

Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !

Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Kwa hiyo yeye kuzuiwa sababu ya kupinga mashoga wewe unafurahi. Hivi utapenda mtoto wa kiume aliwe tako
 
Kwa hiyo yeye kuzuiwa sababu ya kupinga mashoga wewe unafurahi. Hivi utapenda mtoto wa kiume aliwe tako

Acheni ujinga
Mbona hamuulizi
Ben sanane
Azory Gwanda
Akwiline
Mwangosi
Ally Zona
Alphonce mawazo

Achilia mbali waliopotea nakuteswa
 
Ficha
Kwa hiyo yeye kuzuiwa sababu ya kupinga mashoga wewe unafurahi. Hivi utapenda mtoto wa kiume aliwe tako
Ficha ujinga wako, ushoga si sababu ya kupigwa ban, bali kutopenda wenzake waishi " uuaji" ! Yuko wapi Ben Saaabane, Yuko wapi Azory Gwanda ,Yuko wapi Simon Kanguye ,Je ni na ni alitaka kumuua Tundu Lissu?! Ujinga wako wewe usilazimishie watu!
 
Ficha
Ficha ujinga wako, ushoga si sababu ya kupigwa ban, bali kutopenda wenzake waishi " uuaji" ! Yuko wapi Ben Saaabane, Yuko wapi Azory Gwanda ,Yuko wapi Simon Kanguye ,Je ni na ni alitaka kumuua Tundu Lissu?! Ujinga wako wewe usilazimishie watu!
kwa hiyo ndo sababu walizosema US. usiwe unaandika kama mjinga . Jaribu kuwa na fikra kdg
 
Back
Top Bottom