Tamko la kuondoa wamachinga mijini liende sambamba na kuwaondoa watoto wa vigogo kwenye ajira Serikalini

Inasikitisha mno,

Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.

Wakati haya yakiendelea.

Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.

Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.

Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.

Nani mtetezi wa kada hii ya chini.

Aliyepo ajitokeze.
Mbona wakati wa mwendazake hukuleta hii hoja? Au hao watoto wa vigogo wamejazwa serikali kuanzia Marchi 17, 2021?
 
Inasikitisha mno,

Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.

Wakati haya yakiendelea.

Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.

Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.

Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.

Nani mtetezi wa kada hii ya chini.

Aliyepo ajitokeze.

Wakati wanapora kura ili wakae madarakani kwa shuruti inawashambulia, wakianza kujipendelea unaanza kupiga kelele. Ww kaa usubiri t-shirt ya ccm wakati wa uchaguzi.
 
Tena inatakiwa hata wawalawiti kabisa, saa wanaingia madarakani kwa wizi unakenua, ukidhani watakutoa kimaisha, wakikubana Makende unakuja kwa mabasha kujiliza.
tatizo ni kuwa wanatukandamiza sana mkuu,

yaani hata tukijiajiri hawataki tupange vitu vyetu mjini.

Huko mjini wanataka waishi wao tu na tusiwabugudhi wanapopita na magari yao.
 
Kuna vita ukianzisha haiwez kuisha ndo km hyo ya kuondoa watt wa vgogo serikal. Mm naamin hat ww ungekua na kitengo kizur serikalin usingemsahau mwanao
Acha Ku generalize mambo mbona Nyerere alikuwa na nafasi namba 1 na watoto wake hawakuwahi kupewa nafasi za upendeleo
 
....Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.
Haikubaliki kumuhukumu mtoto kwa nafasi ya mzazi wake. Kama mtoto yupo kwa njia zisizo halali, utakuwa na hoja. Lakini kama sifa zake binafsi zinamuwezesha kushika nafasi serikalini, kwa nini umuondolee hiyo haki? Kumbuka, wamachinga wanaondolewa kutokana na uwepo wao hapo kuwa kinyume na taratibu za miji
 
kiongoz apa umezingua..... kila mtu atakula urefu wa kamba yake hakuna mtu alopangiwa awe masikini bhn ni sawa na kumwambia bakresa asimpe mwanae cheo kwenye kampuni yake kwasababu wewe unafanya kazi vizuri kuliko mwanae chamsingi nikupambana.... yani mpk tukisha umia sanaa na kuumiza sana akili tukapata chakufanya ili tuwenasisis vigogo hapo ndipo tutakapoona kuwa jamaa hawajakosea ilimranj watoto wao wanasifa za kuajiriwa inatosha kuwa kama walivyo
 
Poleni mabadiliko yeyote huja na maumivu lakini! Tukubali kutokukubaliana kwamba njaa ni kali😅 na itaendelea kuwa kali mpaka tutakapogawana mbao na misumari ya kujengea nchi!

Ile time bomb inazidi kujongea sekunde za Mlipuko! Nchi yetu wote ila mazingira ya kuinjoy wanayo wabinafsi wachache walio na madaraka makubwa serikalini! Wao na familia zao waneemeke ila the rest of Tanzanians mvumilie tu amani ni kitu muhimu sana nchini😅!!!
 
Poleni mabadiliko yeyote huja na maumivu lakini! Tukubali kutokukubaliana kwamba njaa ni kali😅 na itaendelea kuwa kali mpaka tutakapogawana mbao na misumari ya kujengea nchi!

Ile time bomb inazidi kujongea sekunde za Mlipuko! Nchi yetu wote ila mazingira ya kuinjoy wanayo wabinafsi wachache walio na madaraka makubwa serikalini! Wao na familia zao waneemeke ila the rest of Tanzanians mvumilie tu amani ni kitu muhimu sana nchini😅!!!
Muanzisha Mada enzi Mwendazake ilikuwa ni mwendo wa kusifia tu now nadhani wamegusa masirahi yake 😄😄😄
 
Inasikitisha mno,

Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.

Wakati haya yakiendelea.

Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.

Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.

Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.

Nani mtetezi wa kada hii ya chini.

Aliyepo ajitokeze.
Unamkumbuka zile ajira ZA tra vigogo waliziharibu mpaka leo hawajaajiri watu.. wataajiri mitoto yao kimya kimya
 
Inasikitisha mno,

Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.

Wakati haya yakiendelea.

Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.

Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.

Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.

Nani mtetezi wa kada hii ya chini.

Aliyepo ajitokeze.
Bora hamza
 
Machinga ni matokeo ya muundo wa mfumo jumuishi wa kukwepa kulaumiana, ajira kwa wenye kuwa nazo nao kuwapasia wenzao nao ni mfumo jumuishi wa kukwepa kulaumiana siku zijazo.
Kila jambo na wakati wake.
 
Inasikitisha mno,

Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.

Wakati haya yakiendelea.

Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.

Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.

Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.

Nani mtetezi wa kada hii ya chini.

Aliyepo ajitokeze.
Mimi naona ili suala hili la malalamiko kuhusu labda kada fulani inapendelewa katika ajira liishe, Interview ziwe zinafanyika public, live TV zote.
Watu wajieleze pale watu wote wakiona, wakimwaga CV zao bila kupepesa macho.
Hapo ndipo watu watakapogundua mbivu ni zipi na mbichi ni zipi.
Tutaacha kelele!
 
Inasikitisha mno,

Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.

Wakati haya yakiendelea.

Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.

Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.

Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.

Nani mtetezi wa kada hii ya chini.

Aliyepo ajitokeze.
Wewe unaangukia kundi Gani?
 
Mkuu jitetee mwenyewe, usitegemee kutetewa na ntu mwingine.Vinginevyo imekula kwako.
 
Back
Top Bottom