Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Vijana walioanzia Mwanza , wako Tabora muda huu baada ya kusafiri usiku kucha kutoka Shinyanga na kuweka stop Kahama , walipoona nyenzo zao wanachama halisi wa Chadema hawawaungi mkono kwa sasa wapo Tabora na wameshaallika waandishi wa habari .......
Wanaenda kutoa tamko eti viongozi wa Chadema marufuku kukanyaga ardhi ya Tabora , wakati wao wala sio wa Tabora ......more details to come , who are behind this I will let you know.
Jf , kuwa wa kwanza kujua .
Wanaenda kutoa tamko eti viongozi wa Chadema marufuku kukanyaga ardhi ya Tabora , wakati wao wala sio wa Tabora ......more details to come , who are behind this I will let you know.
Jf , kuwa wa kwanza kujua .