GIUSEPE
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 207
- 74
Nitajieni Mtanzania asiyeomba wala kupokea rushwa. Nataka kuiga maisha yake huyo mtu!!!!!
Yupo mmoja, mlokole wa uhamiaji,nadhani ndiye pekee nchi nzima.
Nitajieni Mtanzania asiyeomba wala kupokea rushwa. Nataka kuiga maisha yake huyo mtu!!!!!