Mkuu unajitahidi sana!! Duh!! Page 1 post 8!chadema walikwenda kufunga ndoa na ccm ili wawe ccm-c
Nahisi utakuwa unashindana na Rejao, Ritz, Ff na Mwita25 kuwazidi bonus mwezi huu!!
Lazima laana ziwaandame kwa kushiriki kuwanyonya masikini!!
Mkuu unajitahidi sana!! Duh!! Page 1 post 8!chadema walikwenda kufunga ndoa na ccm ili wawe ccm-c
Nyie Mgwanda msituletee sarakasi zenu za kikatuni hapa. Hivi kulikuwa na ugumu gani ya kutoa haya madukuduku yenu pale kwenye sebule za magogoni? Au mlilewa zile kahawa za Brazil na kashata za Kuwait mlizokunywa na mkulu? Hapo hesabuni imeshakula kwenu na hakuna chochote mtakachoongea kitakachosikilizwa na Magamba.
Na TUONE ni nani anaujeuri na Kiburi cha kuitumia ... BILA MASAHIHISHO ... !!!!Hapo Ndipo Itagundulika kwa nini CDM walitoka nje Mjengoni ... na ... Kwa nini ...Walitinga Ikulu!! Hayo matukio Mawali yatakuwa na HISTORIA!Kwa sasa walichofanya CDM hakitaonekana wa kueleweka ...Lakini kweli kabisa ni busara kweli. Na Kwa kuwa CCM uwezo wa kutizama wanao lakini hawaoni imewafanya kuwashidwa magamba .... ugonjwa huo huo watauhamishaia kwenye Katiba... Rais ..amenawa mikono ...lakini CCM ya Bungeni Itamsaliti Rais ... Watakataa Kufanya mabadiliko ... CDM watatoka nje kwa mara nyingine ... safari Hii wakiwa huru kabisa miyoni mwao ... CCM ya Bungeni imekiuka makubaliano ya IKULU ... Nitamuunga Mkono Rais .. Nitaipinga .. CCM ya BUNGENI.Nina hakika ..CCM ya Bungeni haina upeo, hekima, busara na ubinadamu wa kutosha ... KUkubaliana na alichofanya ikulu Rais. Na CDM walijua hilo ... na watataka wasionekane kuwa ..ni wao wa kunyoshwewa Kidole ... Ila ni Bunge la CCM ! Hakika hili litatokea!!Kitakachofuatia ..hapo ... sijuu yangu kukisema ...lakini... hakitapendeza kwa jimii yetu ... Lakini kinaepukika ... CCM ya bungeni Itiii makubaliano ya IKULU tu!!! ... Lakini hatakubali!!!!!!!!!!!!!!!! Hawana busara hiyo ..wangekuwa nayo wangeitumia kumaliza tatizo dogo la magamba kwa kuwapa siku 90!!!??naomba niambie tangu sheria ya uchaguzi isainiwe kwa mbwembwe pale magogoni imetumika wapi?
Nyie Mgwanda msituletee sarakasi zenu za kikatuni hapa. Hivi kulikuwa na ugumu gani ya kutoa haya madukuduku yenu pale kwenye sebule za magogoni? Au mlilewa zile kahawa za Brazil na kashata za Kuwait mlizokunywa na mkulu? Hapo hesabuni imeshakula kwenu na hakuna chochote mtakachoongea kitakachosikilizwa na Magamba.
Nadhani ni rahisi kuifanyia marekebisho sheria kuliko mswada. Mara nyingi "option" ya pili ya kutosaini mswada huwa haitumiki sana na watawala walio wengi.
Na TUONE ni nani anaujeuri na Kiburi cha kuitumia ... BILA MASAHIHISHO ... !!!!Hapo Ndipo Itagundulika kwa nini CDM walitoka nje Mjengoni ... na ... Kwa nini ...Walitinga Ikulu!! Hayo matukio Mawali yatakuwa na HISTORIA!Kwa sasa walichofanya CDM hakitaonekana wa kueleweka ...Lakini kweli kabisa ni busara kweli. Na Kwa kuwa CCM uwezo wa kutizama wanao lakini hawaoni imewafanya kuwashidwa magamba .... ugonjwa huo huo watauhamishaia kwenye Katiba... Rais ..amenawa mikono ...lakini CCM ya Bungeni Itamsaliti Rais ... Watakataa Kufanya mabadiliko ... CDM watatoka nje kwa mara nyingine ... safari Hii wakiwa huru kabisa miyoni mwao ... CCM ya Bungeni imekiuka makubaliano ya IKULU ... Nitamuunga Mkono Rais .. Nitaipinga .. CCM ya BUNGENI.Nina hakika ..CCM ya Bungeni haina upeo, hekima, busara na ubinadamu wa kutosha ... KUkubaliana na alichofanya ikulu Rais. Na CDM walijua hilo ... na watataka wasionekane kuwa ..ni wao wa kunyoshwewa Kidole ... Ila ni Bunge la CCM ! Hakika hili litatokea!!Kitakachofuatia ..hapo ... sijuu yangu kukisema ...lakini... hakitapendeza kwa jimii yetu ... Lakini kinaepukika ... CCM ya bungeni Itiii makubaliano ya IKULU tu!!! ... Lakini hatakubali!!!!!!!!!!!!!!!! Hawana busara hiyo ..wangekuwa nayo wangeitumia kumaliza tatizo dogo la magamba kwa kuwapa siku 90!!!??
Hivi ingekuwa vipi?kamati kuu ya chadema wangewateua zitto na shibuda waende wakaonane na rais kuhusu mchakato wa muswada wa sheria ya marekebisho ya katiba halafu mwisho wa siku waje na mwaafaka walio kuja nao wakina mbowe huku wakichekacheka nakujisifu kwamba leo tumekumya juice ya ikulu wanajamii hasa mavuvuvela wa chadema pamoja na toilet paper yao ya mwanahalisi wangesemaje?kuhusu swala hilo?
Akiongea na waandishi wa habari leo John Mnyika amemshauri rais asianze kuitumia hiyo sheria hadi sheria hiyo ibadilishwe.