Tamko la CHADEMA kuhusu Mafuriko lililotolewa na Dr. Slaa leo

Tusiwalaumu wanaoilaumu CHADEMA kuhusu mafuriko Dar, ilaumiwe serikali kwa kuwanyima watanzania elimu ya uraia. Hawaelewe kazi ya Vyama vya siasa vya upinzani, kazi za mbunge na kazi ya mkusanya mapato ya watanzania. Hii ni moja ya sababu wabunge kudai posho kubwa ili kuwawezesha kuwa wafadhiri. "Pesa nyingine zinaishia milango ya Bunge wananchi wanakuja kuwaomba wabunge wao" sio maneno yangu kauli ya Pinda. Maana yake wabunge wa DAR wote(Mnyika, Zungu, Mdee,na wengine) , Dr SLAA, EL, Sitta, Sumaye watoe pesa kusaidia waathirika wa mafuriko. Anayekusanya kodi afanye nini?
 
Ni tamko zuri sana la kuwakumbusha na kuwapa mbinu walioko madarakani!
Fedha za kutekeleza mapendekezo hayo ya CDM zipo kabisa!...shida ni misappropriation tu!

Yani serikali legelege ya hawa mafisadi tuna hasara nayo jamani! Ndiyo janga la Taifa letu!
 
Aliyekosea ni yule aliyewaacha watu wajenge mabondeni na unamjuwa ni nani. Kikwete alisema "very clear" waondoke mabindeni.

RAISI AMWAGIZA PROF ANNA TIBAIJUKA KUZUIYA UJENZI ENEO LA JANGWANI April 5, 2011
Hujui hata kutetea unachofanya ni kuzidi kumchongea, unachoonyesha hapa kumbe haya matatizo alikuwa anayajua lakini hakuchukua hatua zaidi ya kutoa matamko, anatofauti gani sasa na Slaa ambaye hayuko serikalini. Unaposema JK alisema very clear then akamwachia nani, je alipoona tamko lake halitekelezwi kama lile la uzio wa Jangwani alichukua hatua gani, kifupi ni uzembe tu kama uzembe mwingine.
 
Aliyekosea ni yule aliyewaacha watu wajenge mabondeni na unamjuwa ni nani. Kikwete alisema "very clear" waondoke mabindeni.

Huyo Slaa anatuletea habari za Early Warning System wakati hata mafuriko hayajaisha? na kama ni kujuwa kuwa mabondeni huwa panafurika ni nani asiyejuwa? asijitafutie umaarufu kwenye maisha ya watu.

Nadhani hao watu wanaoambiwa kila siku wasijenge huko sasa ndio itakuwa mwisho wa kujenga huko, hii hapa:

RAISI AMWAGIZA PROF ANNA TIBAIJUKA KUZUIYA UJENZI ENEO LA JANGWANI April 5, 2011


Makamba kishanhangaika sana na hao watu. Huyu Slaa asituletee habari za kutowa matamko mbiombio na kutafuta umaarufu hivi hana sera? au hajui hata wakati muafaka wakutoa haya matamko? Ni mbaya sana watu kujitafutia umaarufu kwenye matatizo.

Tuwaombee Mungu awasaidie hawa watu walioathirika na tuwasaidie kadri ya inavyowezekana na kuwasaidia zaidi ni kuhakikisha hawajengi mabondeni.

sawa alitoa agizo je lilitekelezwa?
kama halikutekelezwa alifanya nini au alitakiwa afanye nini?
mi naona bora kutoa taarifa ya ideas ambazo mtu/taasisi ulikuanazo/ilikuanazo ili kusaidia utatuzi wa tatizo kuliko kukaa kimya.
 
Jana kuna vitu viwili vilinishangaza
1. TBC1 kukusanya habari na kuziweka sandukuni kusubiri saa 2 usiku kama tunavyofanyaga tunaponunua nguo za watoto
2. Mkazi mmoja kujitosa na mtumbwi wake kuokoa raia, yaani serikali haina?!

mkuu, hapo kwenye number moja, hayo ni mapungufu makubwa sana kwa vyombo vyetu vya habari.....hata habari ambazo zinatakiwa kwa wakati huo huo, wao wanaona ni habari za kutokea.
Problem ni kwamba, hivi vyombo havijui habari ni nini, ndo maana hawawezi kukava breaking news yeyote zaidi ya kutoa hint ile watu wajikusanye jioni mbele ya luninga zao.

Hovyo habisa.
 
poleni wote mliokufa kwa maji na wale wote mliopoteza vyeti vyenu..
RIP marehemu wote.
 
Aliyekosea ni yule aliyewaacha watu wajenge mabondeni na unamjuwa ni nani. Kikwete alisema "very clear" waondoke mabindeni.

Huyo Slaa anatuletea habari za Early Warning System wakati hata mafuriko hayajaisha? na kama ni kujuwa kuwa mabondeni huwa panafurika ni nani asiyejuwa? asijitafutie umaarufu kwenye maisha ya watu.

Nadhani hao watu wanaoambiwa kila siku wasijenge huko sasa ndio itakuwa mwisho wa kujenga huko, hii hapa:

[h=1]RAISI AMWAGIZA PROF ANNA TIBAIJUKA KUZUIYA UJENZI ENEO LA JANGWANI April 5, 2011[/h]
Makamba kishanhangaika sana na hao watu. Huyu Slaa asituletee habari za kutowa matamko mbiombio na kutafuta umaarufu hivi hana sera? au hajui hata wakati muafaka wakutoa haya matamko? Ni mbaya sana watu kujitafutia umaarufu kwenye matatizo.

Tuwaombee Mungu awasaidie hawa watu walioathirika na tuwasaidie kadri ya inavyowezekana na kuwasaidia zaidi ni kuhakikisha hawajengi mabondeni.

Dk Slaa kakumbushia ilani ya Chadema ya 2010,kuwa walionyesha namna ya kutumia Early Warning System. Na kimsingi tahadhari zote alizotoa si za mafuriko pekee kwa wakazi wa bondeni. Na majanga ya moto pia,na ujenzi holela wa maghorofa bila kuzingatia mfumo maji na mifereji. Na hata ikiwepo inapoziba hakuna anayejua hadi siku mvua inaponyesha. Kwenye post yako nyingine unasema tuwachangie,hapa ni kama unawaambia wakome kujenga walikojenga.. Ndivyo nilivyomuelewa Slaa..
 
sawa alitoa agizo je lilitekelezwa?
kama halikutekelezwa alifanya nini au alitakiwa afanye nini?
mi naona bora kutoa taarifa ya ideas ambazo mtu/taasisi ulikuanazo/ilikuanazo ili kusaidia utatuzi wa tatizo kuliko kukaa kimya.

na kama alishindwa majukumu aliyopewa basi bosi wake naye ana matatizo! Au ndiyo kuogopa kunyimwa kura mtakapowaondoa?
 
Kumbe Slaa bado anaexist? Jana nilijaribu sana kumtafuta kwenye maeneo ya matukio lakini sikumuona. Juhudi zangu pia ziligonga mwamba kumpata Mnyika na Mdee! Nashangaa leo Slaa anavyokuja kifua mbele kwenye makaratasi wakati kwenye eneo la tukio hakuwepo.

Ushauri wangu kwenu CDM..tunataka kuona vitendo na wala siyo propaganda! Kwa stahili yenu hii hamtakaa muitwe chama tawala kamwe!!
 
Mmmmh Dr Slaa kweli ni mnafiki professional lawama tu na chama chake kutoa matamko ya kulaumu hiyo helikopta wanayotumiaga kwenye uchaguzi mbona haja leta? Duh huyu Padre ni janga la kitaifa kazidi kwa porojo!
 
]Helkopta ya kukod ipo wapi [/B]hata ruzuku imeisha

Safi sana Dr. Slaa... ila toeni na chopa ikaokoe wahanga maana serikali hii legelege kutwa kulala... yani waziri mkuu anamsubiri rais aseme...mkuu wa jeshi nae hajiongizi mpaka rais hata kutoa chopa ili iokoe ama kuweka daraja la dharura wanajeshi wamelala,... wazee wa intelejensia ndio kabasa hawana hata vifaaa... kazi kweli kweli... kumbe hii issue ilikuwepo kwenye ilani ya chadema .. sasa magamba kwenye ilani yao kulikuwa na nini? katiba hakuna walikuwa na nini?

Majibu mnaweza kuyapata hapa>>>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...helkopta-zenu-sasa-kuokoa-maisha-ya-raia.html
 
Aliyekosea ni yule aliyewaacha watu wajenge mabondeni na unamjuwa ni nani. Kikwete alisema "very clear" waondoke mabindeni.
Leo Rais Mwenyewe kasema walioathilika na mafuriko walikuwa na uhalali wa maeneo yao tena wamwpimiwa na serikali yao, so hapo mdada rekebisha kauli, si kwamba wote walikuwa Msimbazi au jangwani.
 
Mmmmh Dr Slaa kweli ni mnafiki professional lawama tu na chama chake kutoa matamko ya kulaumu hiyo helikopta wanayotumiaga kwenye uchaguzi mbona haja leta? Duh huyu Padre ni janga la kitaifa kazidi kwa porojo!

unasahau kodi unayolipa ili uweze kupata maisha bora sasa.. Kuna kitengo cha maafa na kina bajeti kila mwaka,maafa yawepo au yasiwepo. Kuna watu wana uelewa mdogo sana wa mambo..
 
Dr. Slaa, nimekua navutiwa sana na sera za chama chenu ma uelekeo wa nia ya kulikomboa taifa, lakini ninapata wasiwasi na utayari na uthabiti wa nia yenu, kama walivyotangulia kusema baadhi ya wachangiaji ambao kimtazamo wangu nawaona si wanafiki wa kupongeza tuuu, hotuba za rambirambi na kuikosoa serikali, lakini ingepaswa mara macheche muwe mstari wa mbele hata kuchangia huduma za kuokoa katika majanga kama haya mfano kama walivyo changia wachache kusema, iko wa pi Helkopta ya Igunga? Kwanini msubiri kutoa rambirambi? Kwanini msubiri kukosoa kwa maneno?


Hili ndilo tatizo la watu kufikiri kwa urefu wa pua zao maana wewe mchangiaji unafikiri helicopter ni kama baikeli ambayo ukiinunua leo unaingia nayo barabarani. Kwanza ndege inaingia kama ferry flight, inatakiwa ikamilishiwe taratibu za ushuru wa forodha either kwa muda mfupi au wa kudumu. Inatakiwa ikaguliwe na mamlaka ya anga (TCCA). Baada ya hapo ndio inaingia angani. Sasa ulitaka CDM wafanye hayo ndani ya usiku mmoja? Hiyo ni kazi ya serikali iliyoko madarakani na ndio maana Dr. anaikumbusha serikali iwe na rescue facilities. Chama cha upinzani hakiwezi kikawa na rescue facilities tena yenye masharti magumu kama ya ndege na hali hakikusanyi kodi. Tunapochangia tufanye ktk upeo mpana otherwise tutaendelea kuchekwa kuwa tunalamba viatu vya watawala na kwa watu kama wewe safari tunayo ndefu na mapinduzi ya kifikra
 
Utendaji wa kupaa na uchumi wa utajiri wake? wakati watnzania wanahali Mbaya? Docta akiwaaambia watanzania wanaishii kwenye nyumba zinafanana na mbavu za mbwa mnasema dr anawakejili.Mwenzio huyo alikwupo tangia enzi za uhai wa mwalimu na akiwa n madaraka serikalini sasa utendaji upi we hausahau? ABSOLUTELY UNA AJENDA NYINGINE SIYO UTENDAJI WA BWANA LOWASSA
 
Back
Top Bottom