Tamko: CHADEMA wayakataa matokeo ya Uchaguzi wa Marudio.

ENDELEENI KUUWA WATU TU,KUARIBU FAMILIA ZA WATU NA KUIBA KURA....HICHO NDICHO CHA KUJIVUNIA....HAMNA CHA ZAIDI...
Nyie watu ningaliwaona ni wazalendo wa kweli kama mngekua mnahoji beyond mahaba yenu kwa vyama,watu wanakufa, watu wanapotea hamsemi kitu chochote..kisa ni wa Chadema..hivi kweli....
Mm sio mfuasi wa itikadi ya Chama chochote..lkn kwa hili ccm mmechemka vibaya sana....ushindi wowote mtakao upata utakua hauna legitimacy yoyote....
Mbona hukioji waliokuwa wanauwawa kule kibiti?
 
CHADEMA bana!

Ninakumbuka ‘’mkwala ‘’ waliopiga CHADEMA siku ambayo walitangaza kuingia kwenye uchaguzi wa majimbo ya Kinondoni na Siha.

Walituambia kuwa kwa sasa hawataki tena kulalamika na watahakikisha kinaeleweka katika Uchaguzi huu.

Ni kweli kimeeleweka kuwa, viongozi wa sasa wa CHADEMA ni mabingwa wa ‘’mikwala mbuzi’’ .

Nilishangaa sana jinsi viongozi wakuu wa CHADEMA walivyoyeyuka juzi katika bonde la mto Mkwajuni baada ya kukumbana na mkono wa vyombo vya dola wakati wakiandamana bila kibali kuelekea kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni!

Mbowe na viongozi wenzake wakuu waliyeyuka kiajabu na kuwaacha kama kafara wafuasi wao katika mikono ya vyombo vya ulinzi.

Jiulize, Mbowe na viongozi wenzake walikuwa mbele ya msafara katika maandamano lakini cha ajabu hawakupata hata moshi au vumbi la bomu la machozi!

Siwezi kushangaa tena wakija na ‘’mkwala mbuzi’’ mwingine ili tu waendelee kuwaaminisha wajinga kuwa wao ni ‘’makamanda’’ kweli kweli.
Atakayekataa maamuzi ya chadema apuuzwa inawezekana sio raia wa Tanzania kwani uwezi kukubali matokeo Milio ya Bunduki hata aliyeshinda hawezi kujusifu
 
Tatizo sio kushinda ...tatizo ni figisufigisu.....ukandamizaji wa watu na mauaji.....Binafsi washinde ccm au Chadema ni sawa tu....tatizo lina kuja....why watu wauwawe...nimesikia yule kada wa chadema Ananasifu...why mpoteze watu,why mtie watu vilema..Why mnakataa kuwapa watu barua kwa wakati,
WHY Magufuli na Serikali yake wanaruhusu matamshi chonganishi kama yale ya Mnyeti....
Kama ccm inakubalika..then kwa nn kusiwe na free and fair election..??Et mtu anaiba sanduku la kura na polisi wapo serious???
Watu hawalalamikii kushindwa kwa Chadema na hawajali kuhusu kushinda kwa ccm sababu hakuna kipya ambacho hao wanasiasa watafanya zaidi ya kushibisha matumbo yao na familia zao....Watu wanalalamikia uvunjifu wa haki za binadamu na matumizi makubwa ya vyombo vya dola kukandamiza upinzaji utafikiri sio raia wa nchi hii..
AU KAMA MNAONA MAGUFULI HANA MPINZANI AU CCM HAITAKI UPINZANI BAC FUTENI VYAMA VINGI...SABABU SERIKALI NI YA CCM NA BUNGE KA CCM..
Let me tell you a story from a movie. Ku a movie nimeisahau jina, lkn inahusu politics katika nchi zilizoendekea. Kiongozi aliyekuwepo madarakani halikuwa hapendwi na baadhi ya wenzie na wananchi so kipindi cha uchaguzi akawekewa mtu mwenye ushindani hasa kiasi hakawa amekata tamaa kushinda. Lakni watu wake wa system wakamwambia atakuwa rais tu. Wakaunda mkakati wao kama karata yao ya mwisho bila kumshirikisha mhusika. Siku chache kabla ya uchaguzi, mtoto pekee wa yule kiongozi aliye madarakani akauwawa. Uchaguzi ulipofanyika jamaa akapita. Why? Alipiwa kura za kuonewa huruma kwa kupoteza mwane siku chache kabla ya uchaguzi, pili kampeni chafu zikafanywa ili ionekane mwenzie anahusika na mtt aliuwawa sababu za kisiasa.
So, yanaoendela sasa nchini usiyaangalie kwa upande mmoja tu. Possible cdm nao wanahusika ili wapate huruma ya kuchaguliwa kwa kuonekana wanaonewa. Kwanini matukio yanayotokea wanakimbilia kulaumu polisi ndio wahusika na kuwaficha mashahidi muhimu huku wakiwataka polisi wachunguze? Siwatetei serikali ila sioni mantiki ya kuuliwa katibu wa tawi la ananasifu sababu ya uchaguzi. Kwangu mimi ni mtu mdogo sana hata kuweza kumdhuru. Uongozi wa chadema unajua unachokifanya na sehemu kubwa wameishiwa sera so wanaunda matukio ili wapate huruma. Mara kwa mara wanakuja na matamko yanayokinzana na wasiyo yasimamia.
 
Sehemu kubwa ya comments humu hazina ushahidi wowote zaidi ya story za kuambiwa au kusikia. Tunaongozwa na mihemko kuliko akili zetu. Ndio maana inakuwa rahisi kutumiwa na wanasiasa kuliko akili zetu.
 
Let me tell you a story from a movie. Ku a movie nimeisahau jina, lkn inahusu politics katika nchi zilizoendekea. Kiongozi aliyekuwepo madarakani halikuwa hapendwi na baadhi ya wenzie na wananchi so kipindi cha uchaguzi akawekewa mtu mwenye ushindani hasa kiasi hakawa amekata tamaa kushinda. Lakni watu wake wa system wakamwambia atakuwa rais tu. Wakaunda mkakati wao kama karata yao ya mwisho bila kumshirikisha mhusika. Siku chache kabla ya uchaguzi, mtoto pekee wa yule kiongozi aliye madarakani akauwawa. Uchaguzi ulipofanyika jamaa akapita. Why? Alipiwa kura za kuonewa huruma kwa kupoteza mwane siku chache kabla ya uchaguzi, pili kampeni chafu zikafanywa ili ionekane mwenzie anahusika na mtt aliuwawa sababu za kisiasa.
So, yanaoendela sasa nchini usiyaangalie kwa upande mmoja tu. Possible cdm nao wanahusika ili wapate huruma ya kuchaguliwa kwa kuonekana wanaonewa. Kwanini matukio yanayotokea wanakimbilia kulaumu polisi ndio wahusika na kuwaficha mashahidi muhimu huku wakiwataka polisi wachunguze? Siwatetei serikali ila sioni mantiki ya kuuliwa katibu wa tawi la ananasifu sababu ya uchaguzi. Kwangu mimi ni mtu mdogo sana hata kuweza kumdhuru. Uongozi wa chadema unajua unachokifanya na sehemu kubwa wameishiwa sera so wanaunda matukio ili wapate huruma. Mara kwa mara wanakuja na matamko yanayokinzana na wasiyo yasimamia.
Serikali inapolaumiwa kwa watu kuuliwa na kupotea maana yake ni kuwa jukumu la kwanza la serikali ni kulinda usalama wa raia...haijalishi nani kafanya...awe mwanachedema,awe mwana ccm,awe raia wa kawaida...it is none of our business....mauaji hayo hayana hata utaalamu au complications za ajabu kusema kwamba inahitaji akili kutatua......
Pia siamini nadharia yako kwamba hawa CHADEMA wanaweza wakafanya huo mchezo...kwa nn nasema hivo??Serikali ya sasa inatafuta kwa udi na uvumba hao Chadema wajichanganye..na nikuhakikishie kama Chadema wangekua ndo wamefanya..ndani ya siku moja watu wangekua wamepelekwa mahakamani wakisindikizwa na vyombo vya habari...ili kudiscredit hicho chama..Kumbuka chama Dola ni CCM,hao CHADEMA ndo wapinzani wao wakubwa... tukio lolote ambalo 100% limefanywa na Chadema lazima CCM ingelishupalia kama mtaji wa kisiasa...na ccm ikishupalia maana yake...vyombo vya dola vyote vimeshupalia..lazima mtu apatikane tu.....Hivyo napingana na hypothesis yako kuwa CHADEMA wanahusika...Ni kosa au MOVE Chadema hawawezi thubutu fanya....they know the consequences....


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Serikali inapolaumiwa kwa watu kuuliwa na kupotea maana yake ni kuwa jukumu la kwanza la serikali ni kulinda usalama wa raia...haijalishi nani kafanya...awe mwanachedema,awe mwana ccm,awe raia wa kawaida...it is none of our business....mauaji hayo hayana hata utaalamu au complications za ajabu kusema kwamba inahitaji akili kutatua......
Pia siamini nadharia yako kwamba hawa CHADEMA wanaweza wakafanya huo mchezo...kwa nn nasema hivo??Serikali ya sasa inatafuta kwa udi na uvumba hao Chadema wajichanganye..na nikuhakikishie kama Chadema wangekua ndo wamefanya..ndani ya siku moja watu wangekua wamepelekwa mahakamani wakisindikizwa na vyombo vya habari...ili kudiscredit hicho chama..Kumbuka chama Dola ni CCM,hao CHADEMA ndo wapinzani wao wakubwa... tukio lolote ambalo 100% limefanywa na Chadema lazima CCM ingelishupalia kama mtaji wa kisiasa...na ccm ikishupalia maana yake...vyombo vya dola vyote vimeshupalia..lazima mtu apatikane tu.....Hivyo napingana na hypothesis yako kuwa CHADEMA wanahusika...Ni kosa au MOVE Chadema hawawezi thubutu fanya....they know the consequences....


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Mbona wanawaficha mashahidi kama kweli wanataka uchunguzi ufanyike na ukweli ujulikane? Kwanini likitokea tukio tu wao ndio wa kwanza kuwanyooshea kidole polisi au ccm? So wanawajua wanaofanya lkn hawataki kuwashitaki hata mahakamani?
 
Mbona wanawaficha mashahidi kama kweli wanataka uchunguzi ufanyike na ukweli ujulikane? Kwanini likitokea tukio tu wao ndio wa kwanza kuwanyooshea kidole polisi au ccm? So wanawajua wanaofanya lkn hawataki kuwashitaki hata mahakamani?
Mkuu hivi kweli unaweza kuficha shahidi....?Serikali hawajaamua kuwatafuta tu....inawezekana serikali inajua kila kitu...inapoongea sijui wamejificha ni kutaka kuonesha wanafuatilia tu....HIVI SERIKALI IKUTAFUTE UTAJIFICHA KWELI...??Unacheza na moto mkuu.....Huwez jificha...
Haijaamua tu kuwatafuta na hawana interest nao
 
Wewe na wenzio muendelee kupora kauli za waiga kura kwenye sanduku la kura. Mnajikusanyia akiba ya mabalaa kama siyo haa hapa dunia basi ni ahera
 
DWRnoFFWsAAIU3m.jpg
Poor
 
Back
Top Bottom