Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,718
- 29,233
taarifa zake ziko kwenye wizara husika. ukitaka kuzipata nenda wizaran omba report ya mapato na matumizi. simple as thatKwa nini za miamala waonyeshe vituo vya Afya watuambie Pia kodi za kwenye madini zimejenga nini, za luku %18 zimejenga nini, za majengo zimejenga nini, za mafuta ya kupikia zimejenga nini za mitungi ya gesi zimejenga nini, za mafuta ya gari zimejenga nini, tuachane na za wafanyabiashara(TRA kila baada ya miezi mitatu) hizo tunajua niza kula bata.