Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,862
Licha ya kwamba sio 13000 kama ilivyotangaza, jina la kwanza linajitokeza kwenye page moja. So kuna mtu mmoja ana nafasi 100+
Shule ya sekondariTatizo akili yako mbovu, unakurupuka bila kuwaza. Jiulize huyo ni mwalimu wa shule ya msingi au sekondari? Utapata majibu ya swali lako.
Fafanua vizurhizo ni namba za mtihani wa form four acheni kukurupuka kama hamwezi kuelewa.
IpowapiNaskia wamepandisha PDF nyingine ambayo huyu shonde yuko mara moja na page zimekuwa 197 pengine kuna watu wameongezeka
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Ipowapi
Ingia utumishi wa umma..Wakuu msaada , mm huku niliko napata p
750 kwa mwezi ila nimejaribu kuwasiliana na wenzangu ambao tayari wameajiliwa na serikali wanapata 360. Ila huku niliko sina bima. Naombeni ushauri wenu nibaki huku niliko au nionde serikalin
Hakuna walio ongezeka idadi ni ile ile, wako Kama 7289 ivi Kama nipo wrong rekebishaNaskia wamepandisha PDF nyingine ambayo huyu shonde yuko mara moja na page zimekuwa 197 pengine kuna watu wameongezeka
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Hakuna walio ongezeka idadi ni ile ile, wako Kama 7289 ivi Kama nipo wrong rekebisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana. Hii Serikali hii Basi tuYameongezeka Mkuu,
Ile PDF ya kwanza jina langu lilikuwa halipo lakini kwenye PDF jina langu nimeliona nimeajiriwa Mwalimu wa Sekondari.
Hata kama wameniajiri CCM watabakia kuwa washenze tu
Hv imekuaje watu waliomaliza 2019 wameajiliwa hvyo vyuo wamemaliza lin?? Mbona ujanja mwingi hapa
Waliomaliza form 2019 wamepata ajira ukiangalia kwa makin index namba za 2019 zpoHv imekuaje watu waliomaliza 2019 wameajiliwa hvyo vyuo wamemaliza lin?? Mbona ujanja mwingi hapa
Namba ya mtihani wa form 4, ndio hutumika kama utambulisho wa mahali koteAFafanua vizur
Acha uongoo, mkuuWaliomaliza form 2019 wamepata ajira ukiangalia kwa makin index namba za 2019 zpo
Mkuu umepata?Waliomaliza form 2019 wamepata ajira ukiangalia kwa makin index namba za 2019 zpo
Sijapata aiseehMkuu umepata?
Pole Mkuu mm mwenyew nmekosaSijapata aiseeh
Sasa inakuaje mtu amemaliza form 4 mwaka jana alafu mwaka huu akapangiwa kufundishaNamba ya mtihani wa form 4, ndio hutumika kama utambulisho wa mahali koteA
Acha uongoo, mkuu
Bujibuji hivi kwanini huwa una roho ya wivuChanga la macho