parts
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,711
- 1,747
Dawa ni kuboresha mishahara yao, haya mengine yote ni kumpigia mbuzi gitaa!
Kwani hao walimu ni watoto wa primary? Hata wakikopa na kuacha ATM yeye inamhusu nini? Hilo linaathiri vipi ufundishaji wake?
Kwani hao walimu ni watoto wa primary? Hata wakikopa na kuacha ATM yeye inamhusu nini? Hilo linaathiri vipi ufundishaji wake?