Tamisemi yafuta kwenye tovuti yake tangazo la ajira za waalimu 13,000 zilizotangazwa wakati wa kampeni

Kama hadi tangazo limefutwa basi hata ajira zitakuwa zimefutwa.

I can guess serikali haina hela ndio maana hadi baraza la mawaziri linacheleweshwa kuundwa kwa sababu mishahara ya kuwalipa ni kizungumkuti.

Kama vipi tuendelee kujifukiza.
 
Uchaguzi umekwisha na kampeni zake jitegemeeni kujiajiri nimefurahi sana kusikia ajira zimefutwa kuna mtu mmoja alishaanza kunipandia kichwani ahsante Mungu futa kabisa ajira tupate cheap labour.
Hahaha jamaa una roho mbaya ww et cheap labour nmecheka kinouma
 
Nani kakuambia kuwa huwa hazifutwi? Hiyo ni jukumu la owner wa website to decide.
Inaonyesha hilo tangazo lilikua linakula server wakaamua walifute! ila yale ya zamani hayali server ndio maana yameachwa!

NB: You are an Idiot.
 
Inaonyesha hilo tangazo lilikua linakula server wakaamua walifute! ila yale ya zamani hayali server ndio maana yameachwa!

NB: You are an Idiot.
Ndio lishatolewa sasa na wenye mamlaka. Nenda kawaambie walirudishe.

Uncircumcised baboon
 
Ikiwa ni miezi miwili sasa imeisha tangu serikali itangaze ajira za ualimu, na kuwaelekeza wenye sifa waombe kupitia mfumo wa OTEAS, kumekuwa na taharuki kubwa miongoni mwa waombaji kutokana na serikali kukaa kimya pasipo kutoa majina ya waliopata ajira hizo.

Mbaya zaidi hata tangazo la hizo ajira limefutwa kwenye tovuti ya TAMISEMI.

Hii ina maana gani?
Endelea kusubiri wakati wenzako wamepata ajira.
 
Majina yatatolewa january, kuweni wavumilivu, tunajitahidi kutenda haki kwa waombaji wanaostahili......
 
Nimeona kwenye page yao ya tamisemi wanasema katibu mkuu atazungumzia hizo ajira leo sa nane kupitia tamisemi tv
 
Back
Top Bottom