scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,771
- 5,541
TAMISEMI wekeni vizuri system yenu ya kuomba ajira za ualimu, yaani karibia wiki inaisha system inasumbua tu, kila siku tunapanda gari kwenda mjini, tunakaa asubuhi mpaka jioni ila system haikubali.
Tufanyeje jamani hela zinaishia kwenye nauli na kazi yenyewe watu nyomi wanataka, emu acheni ubabaishaji.
Tufanyeje jamani hela zinaishia kwenye nauli na kazi yenyewe watu nyomi wanataka, emu acheni ubabaishaji.