TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

Mwalimu tuliza munkari, UHAMISHO NI SEPTEMBER UNARUHISIWA KUAMINI NA KUTOAMINI
Ha hahaaa Evelyn Salt umenichekesha sana..acha kuwajambisha wenzio jamani..na sio walimu tu wanasubr Tamisemi kuna mdogo wangu nae ni afisa Habari manispaa anavyoyasubr hayo majina balaa..kasoma post yako katamani kulia
 
nimecheka mwenyewe wakati nasoma hii coment, we c ndo jana uliletea habari kuwa mpaka mwezi wa 9, na ukasema upo serious!! leo imekuwaje tena unauliza!!!?
We nae unanikwaza sasa wakati Magu kishanitia kichefuchefu, tunaambiwa ni September ndo nataka kuwa ma uhakika hiyo September ni kweli au ni ahadi kama kawaida ya watu weusi kwa ahadi.... Hebu uniache bana
 
Ha hahaaa Evelyn Salt umenichekesha sana..acha kuwajambisha wenzio jamani..na sio walimu tu wanasubr Tamisemi kuna mdogo wangu nae ni afisa Habari manispaa anavyoyasubr hayo majina balaa..kasoma post yako katamani kulia
Ha ha ha ha mie hata simjambishi mtu kama nitafanya hivo basi nitakua najijambisha na mie pia lol
 
Bab j basi utuhurumie maan tumeshaaffected psychologically kwani mawazo yetu yalishahama tangu tuombe uhamsho,tuna mori sana ya kupiga kazi huko tulikoomba kwenda.Jamani hii Tamisemi kupelekwa Ofisi ya Rais mbona inatukatisha tamaa mana nilifikir kwa kuwa ni kazi tu mambo yangeshakuwa wazi kitambo kumbe ndo ivi mnatutia mawazo
 
Et tena mwezi wa 9!!!?
Sasa mbona kama n hivo basi uhakiki auhusiani na uhamishoo coz uhakiki ni mwisho wa mwezi huu sasa how come....tusubiri tu humu hakuna mwenye uhakika mnapretend ili pengine tuseme MNA ndugu tamisemi kwahiyo MNA source ya information... mfyuu
 
Kwa MTU anayeprocess uhamisho wake muda huu hasa ule wa kubadilishana anaweza akafanikiwa kuhama safari hii au ni too late
 
Back
Top Bottom