Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
Tafadhali rejeeni tangazo letu lenye Kumb. Na CD. 162/355/01 la tarehe 30Oktoba, 2017 lililowataarifu waombaji wa kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya walioomba kazi kuanzia 25/07 - 30/08/2017.
Rejea hapa; TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya: Tangazo la kuitwa kazini kwa walioomba kazi kuanzia tarehe 25/07 - 30/08/2017
TAMISEMI inapenda kuwataarifu waajiri na waombaji wote wa nafasi za ajira za kada za Afya kuwa imesitisha zoezi la ajira za kada za afya kwa muda mfupi ili kukamilisha taratibu za ajira.
Rejea hapa; TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya: Tangazo la kuitwa kazini kwa walioomba kazi kuanzia tarehe 25/07 - 30/08/2017
TAMISEMI inapenda kuwataarifu waajiri na waombaji wote wa nafasi za ajira za kada za Afya kuwa imesitisha zoezi la ajira za kada za afya kwa muda mfupi ili kukamilisha taratibu za ajira.