Nasema hivi sababu nimeshangaa kusikia kuna halmashauri wandikishaji pesa ya semina wamelipwa shilingi elfu tano, wakati mwingine wamelipwa elfu therathini, mwingine elfu hamsini, mwingine elfu sitini
Ukifutilia pesa ya malipo ya kazi inchi nzima malipo yanafanana elfu ishirini kwa siku sasa iweje kwenye semina malipo yatofautiane kama hakuna upigaji hapo
MY TAKE:
Tamisemi ziambieni halmashauri zilizoleta janja janja kwenye malipo ya semina watoe pesa kwa wahusika vinginevyo watazitapika hizo pesa wawalipe stahiki zao wandikishaji haraka sana kama muongozo mlivyoutoa, kama ilistahili elfu hamsini na kalipwa elfu ishirini basi ziongezwe hizo therathini
Ukifutilia pesa ya malipo ya kazi inchi nzima malipo yanafanana elfu ishirini kwa siku sasa iweje kwenye semina malipo yatofautiane kama hakuna upigaji hapo
MY TAKE:
Tamisemi ziambieni halmashauri zilizoleta janja janja kwenye malipo ya semina watoe pesa kwa wahusika vinginevyo watazitapika hizo pesa wawalipe stahiki zao wandikishaji haraka sana kama muongozo mlivyoutoa, kama ilistahili elfu hamsini na kalipwa elfu ishirini basi ziongezwe hizo therathini