beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange amesema Serikali imeamua kuifanyia mapitio Sera ya Zahanati katika Vijiji na Vituo vya Afya katika Kata.
Ameeleza, "Tumeamua hivyo ili tuwe na ujenzi wa Zahanati na Vituo vya Afya kimkakati zaidi badala ya kuwa kila Kijiji na kila Kata"
Kauli yake ni baada ya Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Dkt. David Mathayo David kuhoji ni lini Serikali itapeleka Watumishi wa Afya katika Zahanati Jimboni kwake ili zisifungwe kwani Sera ya Serikali ni kuwa na Zahanati kila Kijiji na Kituo cha Afya katika kila Kata.
Ameeleza, "Tumeamua hivyo ili tuwe na ujenzi wa Zahanati na Vituo vya Afya kimkakati zaidi badala ya kuwa kila Kijiji na kila Kata"
Kauli yake ni baada ya Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Dkt. David Mathayo David kuhoji ni lini Serikali itapeleka Watumishi wa Afya katika Zahanati Jimboni kwake ili zisifungwe kwani Sera ya Serikali ni kuwa na Zahanati kila Kijiji na Kituo cha Afya katika kila Kata.