Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 478
- 962
Habar zenyu mabibi na mababu..
Inasemekana kuwa kauli ya Rais ni sheria tena yapaswa kutekelezwa mara moja, Rais anapotoa order usipotekeleza ni kama unapingana na maagizo ya bosi wa nchi.
Mhe Rais Samia suluhu hassan alitoa maagizo katika wizara mbili wizara ya tamisemi na wizara ya utumishi ambazo zote ziko chini ya ofisi ya Rais ya kuwa watoe ajira za ualimu 6000 mara moja haraka iwezekanavyo ili kufanya replacement ya waliostaafu, waliokufa na kutumbuliwa, na alisisitiza kuwa hizo sio ajira mpya.
Katika hali ya kustaajabisha mpaka leo hii hakuna jipya lolote hakuna tamko wala ata tangazo la ajira kuwa vijana waombe ajira, je mawaziri hawa wameamua kumkwamisha rais.
Mbaya zaidi kuna vijana wametoka mashambani wamekuja maeneo ya mjini kwa shemeji zao walau waweze kufanya applications ila mpaka sasa holaa.
Waziri wangu Ummy Mwalimu wewe ni mchapakazi sana nashangaa hili la ajira ambalo mh rais ameshatoa kibali chake linakushindaje wewe??? Embu kuweni na huruma na watoto wa kimaskini, wakisema wasahau ajira waende wakalime nyanya mnakuja mnawatamanisha kuwa ajira zipo afu mnawaacha kwenye mataa.
Inasemekana kuwa kauli ya Rais ni sheria tena yapaswa kutekelezwa mara moja, Rais anapotoa order usipotekeleza ni kama unapingana na maagizo ya bosi wa nchi.
Mhe Rais Samia suluhu hassan alitoa maagizo katika wizara mbili wizara ya tamisemi na wizara ya utumishi ambazo zote ziko chini ya ofisi ya Rais ya kuwa watoe ajira za ualimu 6000 mara moja haraka iwezekanavyo ili kufanya replacement ya waliostaafu, waliokufa na kutumbuliwa, na alisisitiza kuwa hizo sio ajira mpya.
Katika hali ya kustaajabisha mpaka leo hii hakuna jipya lolote hakuna tamko wala ata tangazo la ajira kuwa vijana waombe ajira, je mawaziri hawa wameamua kumkwamisha rais.
Mbaya zaidi kuna vijana wametoka mashambani wamekuja maeneo ya mjini kwa shemeji zao walau waweze kufanya applications ila mpaka sasa holaa.
Waziri wangu Ummy Mwalimu wewe ni mchapakazi sana nashangaa hili la ajira ambalo mh rais ameshatoa kibali chake linakushindaje wewe??? Embu kuweni na huruma na watoto wa kimaskini, wakisema wasahau ajira waende wakalime nyanya mnakuja mnawatamanisha kuwa ajira zipo afu mnawaacha kwenye mataa.