Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

TAMISEMI, MNALITIA AIBU TAIFA HILI


Na MwL DOTTO

usipostaajabu ya Musa utayaona ya filauni, siku ya leo nimefuatilia ufafanuzi wa kina kutoka TAMISEMI juu ya ufafanuzi wa ajira za waalimu. Katibu wa wizara ametoa ufafanuzi dhaifu kinyume na alichokisema siku chache zilizopita.

Wahitimu wengi walitegemea kusikia kuhusu idadi ya ajira kama ilivyotangazwa ili kufahamu kama kuna nafasi zingine au la. Itakumbukwa kuwa TAMISEMI ilitangaza nafasi 13000 ambazo kati ya hizo 7800+ ndio zilizo tangazwa. je Tamisemi itatangaza majina mengine?

Aidha, Katika uchunguzi wangu BABU LEMBRICE PETER mwenye nambari ya kidato cha nne (S. 1802-0102/2010) ametumia namba ya kidato cha nne ya EMMANUEL MANEMBE MABHU aliyewahi kuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari BWERI ndiye mmiliki halali mwenye index number ( S.1802-0102/2010). Hii ni kwa mujibu wa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne CSEE 2010. Pia unaweza kujiridhisha kwa kuangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2010. Ukosefu wa taarifa sasa ni vigezo kilichotumiwa na mfumo uliotumika kuwaondoa waombaji kama ilivyotangazwa na TAMISEMI.

Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake

Aidha Mfumo umeajir waalimu wasio na sifa kama ndugu ABBDALLAH AHMED JIGWA No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019 licha ya kuwa katibu kakanusha kuwa hapakuwa na kosa hilo.

Niwakumbushe kuwa kukosea kujaza taarifa sahihi pamoja na uhalali wa nyaraka kilikuwa kigezo kilichowanyima fulsa baadhi ya wahitimu. Hapa swal linakuja, kwann walikosea kujaza taarifa kama ilivyotolewa ufafanuzi na bado wakapewa nafasi?

Kwa moyo mkunjufu nadeclare. Interest kuwa sina imani na TAMISEMI, hivyo natamani kuona hatua zaid juu yenu zikichukuliwa

Regard, Mwl Dotto
 
Nyie walimu ndio mnalitia aibu taifa kwa kuendelea kuikumbatia CCM.
CCM ni Chanzo Cha Matatizo
TAMISEMI, MNALITIA AIBU TAIFA HILI


Na MwL DOTTO

usipostaajabu ya Musa utayaona ya filauni, siku ya leo nimefuatilia ufafanuzi wa kina kutoka TAMISEMI juu ya ufafanuzi wa ajira za waalimu. Katibu wa wizara ametoa ufafanuzi dhaifu kinyume na alichokisema siku chache zilizopita.

Wahitimu wengi walitegemea kusikia kuhusu idadi ya ajira kama ilivyotangazwa ili kufahamu kama kuna nafasi zingine au la. Itakumbukwa kuwa TAMISEMI ilitangaza nafasi 13000 ambazo kati ya hizo 7800+ ndio zilizo tangazwa. je Tamisemi itatangaza majina mengine?

Aidha, Katika uchunguzi wangu BABU LEMBRICE PETER mwenye nambari ya kidato cha nne (S. 1802-0102/2010) ametumia namba ya kidato cha nne ya EMMANUEL MANEMBE MABHU aliyewahi kuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari BWERI ndiye mmiliki halali mwenye index number ( S.1802-0102/2010). Hii ni kwa mujibu wa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne CSEE 2010. Pia unaweza kujiridhisha kwa kuangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2010. Ukosefu wa taarifa sasa ni vigezo kilichotumiwa na mfumo uliotumika kuwaondoa waombaji kama ilivyotangazwa na TAMISEMI.

Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake

Aidha Mfumo umeajir waalimu wasio na sifa kama ndugu ABBDALLAH AHMED JIGWA No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019 licha ya kuwa katibu kakanusha kuwa hapakuwa na kosa hilo.

Niwakumbushe kuwa kukosea kujaza taarifa sahihi pamoja na uhalali wa nyaraka kilikuwa kigezo kilichowanyima fulsa baadhi ya wahitimu. Hapa swal linakuja, kwann walikosea kujaza taarifa kama ilivyotolewa ufafanuzi na bado wakapewa nafasi?

Kwa moyo mkunjufu nadeclare. Interest kuwa sina imani na TAMISEMI, hivyo natamani kuona hatua zaid juu yenu zikichukuliwa

Regard, Mwl Dotto
 
TAMISEMI, MNALITIA AIBU TAIFA HILI


Na MwL DOTTO

usipostaajabu ya Musa utayaona ya filauni, siku ya leo nimefuatilia ufafanuzi wa kina kutoka TAMISEMI juu ya ufafanuzi wa ajira za waalimu. Katibu wa wizara ametoa ufafanuzi dhaifu kinyume na alichokisema siku chache zilizopita.

Wahitimu wengi walitegemea kusikia kuhusu idadi ya ajira kama ilivyotangazwa ili kufahamu kama kuna nafasi zingine au la. Itakumbukwa kuwa TAMISEMI ilitangaza nafasi 13000 ambazo kati ya hizo 7800+ ndio zilizo tangazwa. je Tamisemi itatangaza majina mengine?

Aidha, Katika uchunguzi wangu BABU LEMBRICE PETER mwenye nambari ya kidato cha nne (S. 1802-0102/2010) ametumia namba ya kidato cha nne ya EMMANUEL MANEMBE MABHU aliyewahi kuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari BWERI ndiye mmiliki halali mwenye index number ( S.1802-0102/2010). Hii ni kwa mujibu wa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne CSEE 2010. Pia unaweza kujiridhisha kwa kuangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2010. Ukosefu wa taarifa sasa ni vigezo kilichotumiwa na mfumo uliotumika kuwaondoa waombaji kama ilivyotangazwa na TAMISEMI.

Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake

Aidha Mfumo umeajir waalimu wasio na sifa kama ndugu ABBDALLAH AHMED JIGWA No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019 licha ya kuwa katibu kakanusha kuwa hapakuwa na kosa hilo.

Niwakumbushe kuwa kukosea kujaza taarifa sahihi pamoja na uhalali wa nyaraka kilikuwa kigezo kilichowanyima fulsa baadhi ya wahitimu. Hapa swal linakuja, kwann walikosea kujaza taarifa kama ilivyotolewa ufafanuzi na bado wakapewa nafasi?

Kwa moyo mkunjufu nadeclare. Interest kuwa sina imani na TAMISEMI, hivyo natamani kuona hatua zaid juu yenu zikichukuliwa

Regard, Mwl Dotto

Uzi una toka huku unakuja huku.
 
Madudu yaliyofanyika kwenye ajira za Ualimu zilizotangazwa.

Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE S3630-0099/2013' lajirudia mara 196

Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU

Wakati kundi kubwa la vijana likiwa na nyuso za simanzi baada ya kukosa ajira, haya ni baadhi ya madudu yaliyofanywa na TAMISEMI na kupelekea vijana wengi kukosa ajira huku wakiwa na vigezo.

1. Serikali kupitia TAMISEMI imeajiri jumla ya walimu 28 waliomaliza kidato cha nne mwaka jana, 2019. Swali la kujiuliza kama hawa vijana walimaliza form four mwaka jana, chuo walienda lini na walimaliza lini mafunzo ya ualimu?. Huu ni mwendelezo wa TAMISEMI kuajiri walimu hewa serikalini.

2. Serikali imeajiri walimu wenye tahasusi zenye utata kwenye masomo yao. Mf. Mmoja kaajiriwa kama mwl wa mathematics, civics na mwingine ana masomo ya mathematics, history na kiswahili Wote wamepangiwa kufundisha sekondari. Je, walimu hawa walichukua tahasusi gani kidato cha sita?. Hawa nao ni hewa.

3. Kigezo cha umri kuajiriwa serikalini mwisho ni miaka 45. Lakini kwenye ajira zilizotangazwa na tamisemi wapo walimu walimaliza kidato cha nne kati ya 1994-1997. Ukipiga hesabu hawa walimu wana umri zaidi ya miaka 45. Swali la kujiuliza, hawa walimu walikuwa wapi miaka yote hiyo? na je, tamisemi hawakuligundua hilo?. Hawa inawezekana wana michongo na wakubwa kule tamisemi.

4. Katibu anasema ajira zilizotolewa ni 13000. Uongo mtupu. Kuna page zina walimu 48, 38, 37, 42, n.k. Ambapo kwa uwiano wa walimu 41 × idadi ya page 197 utapata jumla ya walimu 8077 ndio walioajiriwa. Je hiyo 13000 ya katibu mkuu inakujaje?. Hewa hewa kwa kwenda mbele.

5. Walimu wengi wamepangiwa sehemu ambazo hawakuchagua. Hapa inaonyesha machaguo hayakuzingatiwa kwahiyo hapakuwepo haja ya watu kuchagua shule kama serikali ilikuwa inajua pa kuwapeleka.

Madudu yapo mengi tutaendelea kuyaibua kadri tutakavyo yabaini

"Everything happen for a reason" nilivoona hakuna serial number nilijiuliza sana(kwamba excel ya hao jamaa ilishindwa kabisa kuweka number jibu ni hapana haikushindwa then why?). Nikajipa kaz ya kuhesabu idadi kwa baadhi ya pages, wastani kila page ni kama watu 40,document ina page 196

40x196=7840( kumbuka kwenye kila page kuna jina moja limerudiwa ,haya twende, nacheka lakini naogopa)

7840-195(hizi ni nafasi hewa ambazo hazina watu ,mathematically)=7645

Ajira zilitangazwa 13,000(kama kumbukumbu zangu ziko sawa)

13000-7645=5355( sio mbaya eti hahaha)

5355 ,ni watu idadi kubwa(mathematically),,ila politically sio mbaya sana,,,,

Pengine wakuu kuna second batch (who knows).

Brothers and sisters outthere na wahusika wote wa kada husika waliopatana nafasi kongole kwao ,waliokosa msikate tamaa kesho yenu ipo hata kama sio kupitia taaluma zenu basi itapatikana kwa namna nyingine ,msichoke kupambana ndani na nje ya mfumo.asante

Ali Maulid Mtawatawa-1997

Beatrice Apolinary Lyimo -1999

Charles Nyagaya John -1995

Miaka 20+ iliyopita alikuwa wapi hadi mwaka huu ndio waajiriwe?

Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake

View attachment 1636505
Anaitwa ABBDALLAH AHMED JIGWA

No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019

MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019

Haya ndo matokeo ya ana division four ya Point 31 na ufaulu wake wa masomo ni huu hapa;-

Civ F Hist D Geo F Kisw C Engl D Lit Eng F Bio F B/Math F

Leo amechaguliwa kwenda kufundisha Leo Leo Primary.

Maswali ya kujiuliza

1. Amesoma chuo kwa muda gani kama amehitimu kidato cha NNE 2019?

2. Amechukuliwaje kwenda kusoma chuoni ile hali ana Division Four ya pont 31?

3. Kama alianza kusoma chuoni akiwa hana cheti cha Form four aliruhusiwaje kusoma chuoni?

Rais anajitahidi sana lakin kuna watu wanamuangusha
1606733279040.png
 
Mkuu,

Unamacho na uko makini sana; ni kweli hilo jina limejirudia tena kila ukurasa mstari wa kwanza jina hilo ndio linaanza.

Matatizo ya watumishi ya kukopi na kupaste kwenye spreadsheet bila kutumia fomula ya hesabu sahihi ndio matokeo yake hayo.

Kwa mantiki hiyo jina hilo linakosesha haki ya walimu wenye sifa 195 hivyo kutoa mwanya wa rushwa kuchomeka mtu kisha orodha inarekebishwa.

TAMISEMI and Ministry of education must take drastic action to restore the rights of the qualified teachers.

Hapa kuna shida...

Tunawataka wasitishe zoezi lote na mchakato ufanyike upya...

Kuna vijana wengi wenye sifa wameachwa na TAMISEMI kuwapa ajira watu wasio na sifa wala kustahili...

Hii si haki. Hii haikubaliki hata kidogo...
 
NIA YA KULA PESA...yaliyojirudia yatakuwa replaced baadae na ghost names....let us magufulify TZ na sio kuikwetefy and ridhichinafy
 
Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU


---

---

---

---

---




PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020

= > Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane pekee

'ABADALLAH LEONARD SHONDE alipwe mshahara mara 196!​

Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU


---

---

---

---

---




PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020

= > Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane
 
Watu mnasikitika kujirudia rudia jina la uyo mwamba , ila mnasahau kuangalia uchukuaji wa watu bila upendeleo, izi ajira zimejaa ukanda na ukabila. Juhudi za mwenda zake.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom