kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,616
- 1,763
Nakumbuka mliahidi kabla ya mwaka 2021 mtakua mshatoa majina sasa zimebaki siku chache tu tafadhali wengi tumekosa mtoe majina hayo mtaani sio aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafungue dirisha upya kwa walimu 5k?Saivi serikali haina hela ndio maana hata walioajiriwa majuzi bado hawajapewa pesa ya kujikimu na mshahara wa mwezi huu. Alafu kuhusu majina mimi sishauri kabisa kuendelea kutumia majina hayo ya kwenye database maana tayali yana hitilafu ni mara mia wafungue dirisha tuombe upya.
Maoni: TAMISEMI fanyeni haya kuboresha Mfumo wa Kuajiri Walimu
Kwa mtazamo wangu naona haya ni maeneo ya muhimu yanayopaswa kufanyiwa marekebisho ili kuepusha changamoto zinazojitokeza wakati wa kutoa ajira. 1. Unganisheni mfumo wenu na database ya NECTA kwakuwa wao ndio wenye taarifa zote za kielimu za waombaji basi hii itasaidia pale ambapo mwombaji...www.jamiiforums.com
Unaona ni wachache sana mkuu?wafungue dirisha upya kwa walimu 5k?
huyo mwache hata Mi nipo private mkuu lakini public employment ni bora zaidiMkuu Fanya mambo yako...unaweza subili afu usipate kama Mimi hapa...ndo utachanganyikiwa kbs