Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Nimemsikiliza mwisho mwisho Tambwe Hizza katika bulletin ya Ch 10 usiku huu akitoa ufafanuzi kuhusu uchaguzi wa Meya Arusha kuwa ulifanyika kihalali na nonsense nyingine kuhusu yule Mbunge wa viti Maalum wa Tanga aliyepiga kura Arusha.
Nauliza, tangu lini Hizza amekuwa msemaji wa TAMISEMI? Ufafanuzi ulitakiwa utolewe na Mkuchika au bosi wake Pinda,
Nauliza, tangu lini Hizza amekuwa msemaji wa TAMISEMI? Ufafanuzi ulitakiwa utolewe na Mkuchika au bosi wake Pinda,