To be more specific waite Tambe Hizza Mental Retarded University!!!!Wazee,
Naomba kwa sasa nisitaje chuo lakini mnaonaje wazo hilo?
Jamani mheshimuni sana Prof Lipumba, Maalim Seif Shariff Hamad na Haji Duni Haji kwa kazi waliokua wanafanya kulifanya hili njemba Richard Tambwe Hiza aonekane mtu maarufu na wa maana mbele ya jamii.
Naamini kwamba haikua kazi rahisi waheshimiwa hawa hadi wakawa wamemfikisha tambwe ngazi hizokumfanya mpaka awe hivo. Kwa taarifa za ndani sana tulizonazo Tambwe Hiza alionekana kufanya vizuri kwa kutumia talanta yake ya kujua sana kujieleza, LAKINI MPAKA PALE AMBAPO KAPIGWA TUISHENI YA NGUVU MAPEMA kidogo kabla ya kujitokeza mbele ya watu.
Sasa tangu ahamishiwe CCM na Katibu Mkuu, Mjomba wake Mzee Yusuff Maropes, Hiza siku hizi kaachwa tu peke yake kama kuku wa kienyeji kujitafutia chakusema huko huko viwanjani jambo ambalo mpaka sasa imemfanya awe anaadhirika sana kokote anakojitokeza kukisemea chochote CCM.
Masikini Tambwe!!!!!
Duuu, ningekuwa Hiza ningeenda zangu lushoto nianze biashara nyingine kama uuzaji wa mitumba. Ni aibu.
Hiza anatuhuma ya kujibu na kuwathibitishia Watanzania Je alipohamia CCM kutoka CUF alilala na mama yake kama alivyo ahidi kuwa pindi atakapohama CUF na kurejea CCM labda alale na mama yake! Sasa sote tumeshuhudia akilamba matapishi yake na kurejea CCM sasa swali je ilimbidi alitimiza nadhiri yake alijiwekea na shetani wake?
Sijui ni uthibitisho gani kwa Watanzania walio Makini kuwa CCM ni janga la taifa kwani limejaza kila aina ya takataka kama wakina TAMBWE HIZA na sisi watanzania wote tuna onekana wa hovyo kabisa kama anavyosema Jenerali ulimwengu,