Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,974
- 13,614
Wala hukuwa unahitaji utafiti. Ndio hali halisi. Hata mimi huwa nahisi nitaanza kufa mimi.
Kwa msukosuko wa maisha ninayopitia, Hali ngumu ya maisha, Madeni, kutoelewa ndani ya nyumba nk. Mwanaume lazima atangulie aisee.
Kwa msukosuko wa maisha ninayopitia, Hali ngumu ya maisha, Madeni, kutoelewa ndani ya nyumba nk. Mwanaume lazima atangulie aisee.