sinyora
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 966
- 1,622
RIP Kibonde.. huyu baba aliniuma sana aiseeNa ni kweli wanaume wengi wanaanza kufa kabla ya wake zao ,,na mara nyingi akifa mwanamke kwanza mwanaume hachukui mda anafuata nyuma
Anaweza kufa mwanaume ,mwanamke akapiga hapo miaka yake kumi kabisa ,,lakini akitangulia mwanamke ,mwanaume mara nyingi amalizi mitano.
.