Sukye13
Senior Member
- Apr 20, 2020
- 163
- 169
Kuna umuhimu wa kuzungumza na wazee, hususani wenye busara juu ya matatizo na changamoto zetu, hasa hili la upungufu wa urijari.
Wazee wana mbinu nyingi na wameishi miaka mingi,wanajua vitu vingi hivyo tukiwafungukia tutapata kujua mambo mengi zaidi..
Unakuta mzee ana wake wanne na mwingine wa mwisho ni binti kabisa, na bado anawawezea unafikiri wanatumia mbinu gani ambayo sisi tunakwama..
Wazee wana mbinu nyingi na wameishi miaka mingi,wanajua vitu vingi hivyo tukiwafungukia tutapata kujua mambo mengi zaidi..
Unakuta mzee ana wake wanne na mwingine wa mwisho ni binti kabisa, na bado anawawezea unafikiri wanatumia mbinu gani ambayo sisi tunakwama..