ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,455
habarini Mabestitooooo
Hivi unafahamu kuwa unapendwa na Mungu na kwanini amekuweka hata sasa?
SASA TAMBUA KUWA UMEPENDWA NA MUNGU JIRINGIE KIVYAKOVYAKO
Utajuaje kuwa wewe ni wa thamani kuliko weingine wote na umewapita
Utajuaje kuwa hakuna wa mfanowe zaidi yako ambaye atachukua mlima wako
Utajuaje kuwa wewe u mrembo na umetunukiwa siri za mbinguni zaidi ya wote
Utajuaje kuwa kuwepo leo ni muujiza tena ni fahari kwako wangapi hawako leo?
Utajuaje kuwa sasa umebakiza wk kadhaa kuingia 2014 NI VYEMA UMSHUKURU
MUNGU
ILA KWANGU NI ZAIDI:
Utajuaje kuwa nimependelewa na Mungu na nafurahia vinono juu ya dunia hii?
Utajuaje kuwa nimetokelelezea kuwapa amanyafu balindwana bhosa mjengoni?
Utajuaje kuwa Mungu akikupendelea hakuna mwingine ambaye atakulima?
Basi napenda kufurahi leo na wale wanaojijua ni marafiki zangu wa ukweli mjengoni
humu kwani nimependelea na nakamua kivyangu vyangu bila hata kugombwa
waswahili wanasema raha jipe mwenyewe usisubiri kupewa utasubiri mpaka utakamuka
Mzionapo chini ni baadhi ya picha zangu ambazo nilikuwa mkoani wk iliyopita msiba
ulionipata kwa wale ambao ni wepesi sana wasikete ila ni kuonesha vile mlivyonijali
Nawashukuru wote waliokuwa pamoja nami katika kipindi hichi kigumu ambacho
sikukitarajia kwangu kinitokee ila mapenzi ya Mungu yatimizwe kwani yeye alimpenda
zaidi yangu. Shukrani za kipekee zimwendee Jiwe Linaloishi, Paloma, Mtambuzi Young Master, nitonye charminglady, Passion Lady, Lady doctor walikuwa
karibu yangu yaani nikajiona kuwa nimpendelewa sana mie. Mungu wa Mbinguni
na Awabariki na wale wote waliionitumia comments kunifariji hapa jf Mbarikiwe sana
ila daddy watu8 alikuwa mbali sana.
oneni PICHA kidogo za kijijini kwetu muenjoy:
hapa ndipo ni kijijini kwetu
hizi picha zingine ni kwenye msiba wa shangazi yangu samahani kwa
wale ambao ni wepesi kulia hapa nimeona niwaoneshe kidogo ilivyokuwa
Wasalaam;
Ladyf
Hivi unafahamu kuwa unapendwa na Mungu na kwanini amekuweka hata sasa?
SASA TAMBUA KUWA UMEPENDWA NA MUNGU JIRINGIE KIVYAKOVYAKO
Utajuaje kuwa wewe ni wa thamani kuliko weingine wote na umewapita
Utajuaje kuwa hakuna wa mfanowe zaidi yako ambaye atachukua mlima wako
Utajuaje kuwa wewe u mrembo na umetunukiwa siri za mbinguni zaidi ya wote
Utajuaje kuwa kuwepo leo ni muujiza tena ni fahari kwako wangapi hawako leo?
Utajuaje kuwa sasa umebakiza wk kadhaa kuingia 2014 NI VYEMA UMSHUKURU
MUNGU
ILA KWANGU NI ZAIDI:
Utajuaje kuwa nimependelewa na Mungu na nafurahia vinono juu ya dunia hii?
Utajuaje kuwa nimetokelelezea kuwapa amanyafu balindwana bhosa mjengoni?
Utajuaje kuwa Mungu akikupendelea hakuna mwingine ambaye atakulima?
Basi napenda kufurahi leo na wale wanaojijua ni marafiki zangu wa ukweli mjengoni
humu kwani nimependelea na nakamua kivyangu vyangu bila hata kugombwa
waswahili wanasema raha jipe mwenyewe usisubiri kupewa utasubiri mpaka utakamuka
Mzionapo chini ni baadhi ya picha zangu ambazo nilikuwa mkoani wk iliyopita msiba
ulionipata kwa wale ambao ni wepesi sana wasikete ila ni kuonesha vile mlivyonijali
Nawashukuru wote waliokuwa pamoja nami katika kipindi hichi kigumu ambacho
sikukitarajia kwangu kinitokee ila mapenzi ya Mungu yatimizwe kwani yeye alimpenda
zaidi yangu. Shukrani za kipekee zimwendee Jiwe Linaloishi, Paloma, Mtambuzi Young Master, nitonye charminglady, Passion Lady, Lady doctor walikuwa
karibu yangu yaani nikajiona kuwa nimpendelewa sana mie. Mungu wa Mbinguni
na Awabariki na wale wote waliionitumia comments kunifariji hapa jf Mbarikiwe sana
ila daddy watu8 alikuwa mbali sana.
oneni PICHA kidogo za kijijini kwetu muenjoy:
hapa ndipo ni kijijini kwetu
hizi picha zingine ni kwenye msiba wa shangazi yangu samahani kwa
wale ambao ni wepesi kulia hapa nimeona niwaoneshe kidogo ilivyokuwa
Wasalaam;
Ladyf
Attachments
Last edited by a moderator: