edjizzo
Member
- Nov 2, 2010
- 81
- 1
jamii tunashindwa tambua kuwa kuna vitu vingi kama kampuni ya goole imekuwa ikipigwa marufuku nchi nyingi kuchunguza siri za watu mpaka sasa ikiwa mshiriki na mzamini wa android.japo itakuwa siri ya watu wengi.ikitumia kampuni kuchanganya watumiaji wengi wa vifaa vya smart kwa sasa.MIMI NIMTANZANIA ULINZI NI KAZI YAKO KILA JAMII ATA KAMA NIMAWASILIANO